Alexander McQueen
Senior Member
- Aug 30, 2016
- 186
- 41
Selection nacte zinafanyika through profile kama mm niliaply from march but juzi ndio nimekuta selected but chuo hawajanioneshasasa hao waliokuwa selected wako wap mbona hawajatoa? kiukweli hawa nacte wanazingua wanatuonyeshaje nafasi zilizobaki kabla ya kutuonyesha watu waliokuwa selected?
Kaka wewe umekuwa selected diploma watu tunazungumzia Degree mkuuSelection nacte zinafanyika through profile kama mm niliaply from march but juzi ndio nimekuta selected but chuo hawajanioneshaView attachment 403077
Aisee tusubiri tuone mkuu maana naona wanazingua hawa alaf vyuo kama dit na must vishaa jaa man yan kama wakisema ni ku reapply itakuwa ni kwere kichz manIIla nadhani kama wote (diploma holders) tuliaplly kipindi kile kupitia nacte (kabla ya matokeo ya form six) na profile zetu zinaonyesha tofauti basi inawezekana wale wanaoiona ile option ya 'view choosen program' na wakaweza kuview machaguo yao wakawa wamekosa selection na wale wasiyoiona hiyo option wakawa wamepata au ikawa kinyume chake...
mkuu hiyo ume apply bachelor au diploma?????Selection nacte zinafanyika through profile kama mm niliaply from march but juzi ndio nimekuta selected but chuo hawajanioneshaView attachment 403077
kweli kabisaHuyo aliyekua selected nahis ni wa diploma hakuna wa degree aliyepata selection