Nacte na Tcu

Nacte na Tcu

mjuniour

Senior Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
130
Reaction score
37
Mimi upande wangu naona tusubiri majina watatoa tu na si kwamba awajui vyuo vinafunguliwa wanafahamu wanafavya hivyo pengine baada ya kutoa selection kusiwepo malalamiko mengi na wengine kujikuta wakiingia kulipia transfer baada ya kukosa chuo na course walizopenda ndio maana wanachukua mda mrefu kutoa majibu ila chuo lazima kwenda
 
Kaka hii nchi ni baraa viongoz hawaeleweki kabisa na si kama unavyofikiria
 
sawa lakini majibu ni lazima yatoke hivyo basi subira inaitajika sana ingawa wengi wamechoka kumbuka umekula ngombe mzima tusishindwe malizia mkia chuo nilizima kwani lazima selection zitoke
 
Back
Top Bottom