hivi hawa nacte kitengo cha IT hawaoni kuwa hawajaingiza database za wanafunzi waliomaliza mwaka 2015??? au mwaka huu wanataka wasiende vyuoniiiiiiiii?
Mkuu tusaidie na sisi tujue hivyo vigezo,maana kila nikijaribu kufungua inagoma sijui tatizo ni nini,kuna dogo ana div.4 points 27 vipi anaweza kuomba certificate ya primary education?