Amehlo JF-Expert Member Joined May 8, 2019 Posts 10,415 Reaction score 30,132 Nov 15, 2020 #21 kilamba lamba said: Nawasalimu wana jf Mu wazima humu. Jamani wanajamvi mpenzi wangu simuelewi kabisa kwa sasa. Nahisi nasalitiwa waziwazi ila ushahidi tu ndo sina. Nilichoamua kutaka kuidukua simu yake , liwalo na liwe. NB ahsanteni kwa kunisikiliza Click to expand... Usisahau kuleta updates ya utakavyokutana navyo
kilamba lamba said: Nawasalimu wana jf Mu wazima humu. Jamani wanajamvi mpenzi wangu simuelewi kabisa kwa sasa. Nahisi nasalitiwa waziwazi ila ushahidi tu ndo sina. Nilichoamua kutaka kuidukua simu yake , liwalo na liwe. NB ahsanteni kwa kunisikiliza Click to expand... Usisahau kuleta updates ya utakavyokutana navyo
Quetzal JF-Expert Member Joined Dec 9, 2018 Posts 6,345 Reaction score 10,822 Nov 15, 2020 #22 Mark mod said: Mi niliwahi kumdukua mtu sikuamini macho yangu.Nilikuta anatumia watu picha zake za uchi hadi wachungaji. Click to expand... Je ulie nae saiv Nae unamdukua?
Mark mod said: Mi niliwahi kumdukua mtu sikuamini macho yangu.Nilikuta anatumia watu picha zake za uchi hadi wachungaji. Click to expand... Je ulie nae saiv Nae unamdukua?
Patra31 JF-Expert Member Joined Apr 24, 2020 Posts 6,933 Reaction score 13,944 Nov 15, 2020 #23 Sawa ila jitaidi utakacho kipata ukimalize mwenyewe, usije kutuomba tena ushauri humu
Mark mod JF-Expert Member Joined Mar 10, 2019 Posts 294 Reaction score 561 Nov 15, 2020 #24 Sitaki tena kwanza sina mtu now CreditAnalyst said: Je ulie nae saiv Nae unamdukua? Click to expand...
Sitaki tena kwanza sina mtu now CreditAnalyst said: Je ulie nae saiv Nae unamdukua? Click to expand...
L Lihove2 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2018 Posts 3,842 Reaction score 6,962 Nov 15, 2020 #25 kilamba lamba said: Nawasalimu wana jf Mu wazima humu. Jamani wanajamvi mpenzi wangu simuelewi kabisa kwa sasa. Nahisi nasalitiwa waziwazi ila ushahidi tu ndo sina. Nilichoamua kutaka kuidukua simu yake , liwalo na liwe. NB ahsanteni kwa kunisikiliza Click to expand... Vipi kuhusu yeye pia akiwa na mpango huo huo wa kudukua simu yako,itakuwa salama tuu ?
kilamba lamba said: Nawasalimu wana jf Mu wazima humu. Jamani wanajamvi mpenzi wangu simuelewi kabisa kwa sasa. Nahisi nasalitiwa waziwazi ila ushahidi tu ndo sina. Nilichoamua kutaka kuidukua simu yake , liwalo na liwe. NB ahsanteni kwa kunisikiliza Click to expand... Vipi kuhusu yeye pia akiwa na mpango huo huo wa kudukua simu yako,itakuwa salama tuu ?
Misako JF-Expert Member Joined Jul 15, 2020 Posts 1,143 Reaction score 1,404 Nov 15, 2020 #26 Kila la heri kilamba lamba.
Quetzal JF-Expert Member Joined Dec 9, 2018 Posts 6,345 Reaction score 10,822 Nov 15, 2020 #27 Mark mod said: Sitaki tena kwanza sina mtu now Click to expand... ...Mkuu USIACHE kudukua..hiyo itakufanya uoe ukiwa unakaribisha 50..unatafuta binti wa Miaka 18 Safi kabisa
Mark mod said: Sitaki tena kwanza sina mtu now Click to expand... ...Mkuu USIACHE kudukua..hiyo itakufanya uoe ukiwa unakaribisha 50..unatafuta binti wa Miaka 18 Safi kabisa
Mark mod JF-Expert Member Joined Mar 10, 2019 Posts 294 Reaction score 561 Nov 15, 2020 #28 CreditAnalyst said: ...Mkuu USIACHE kudukua..hiyo itakufanya uoe ukiwa unakaribisha 50..unatafuta binti wa Miaka 18 Safi kabisa Click to expand... mawazo yako yamepokelewa
CreditAnalyst said: ...Mkuu USIACHE kudukua..hiyo itakufanya uoe ukiwa unakaribisha 50..unatafuta binti wa Miaka 18 Safi kabisa Click to expand... mawazo yako yamepokelewa
Smartphone Tz Member Joined Oct 29, 2020 Posts 34 Reaction score 29 Nov 15, 2020 #29 Unachokitafuta utakipata
kiboboso JF-Expert Member Joined Sep 17, 2013 Posts 9,351 Reaction score 12,686 May 16, 2021 #30 Mrejesho tafadhali
Mboka man JF-Expert Member Joined Aug 22, 2020 Posts 478 Reaction score 1,651 May 16, 2021 #31 kilamba lamba said: Nawasalimu wana jf Mu wazima humu. Jamani wanajamvi mpenzi wangu simuelewi kabisa kwa sasa. Nahisi nasalitiwa waziwazi ila ushahidi tu ndo sina. Nilichoamua kutaka kuidukua simu yake , liwalo na liwe. NB ahsanteni kwa kunisikiliza Click to expand... Huyo mtu alishakuacha siku nyingi sana na sasa hivi ana mpenzi mwingine sasa unachokitafuta ni nini tena broo ? Mtu ameshakuacha bado unamngangania tuuu
kilamba lamba said: Nawasalimu wana jf Mu wazima humu. Jamani wanajamvi mpenzi wangu simuelewi kabisa kwa sasa. Nahisi nasalitiwa waziwazi ila ushahidi tu ndo sina. Nilichoamua kutaka kuidukua simu yake , liwalo na liwe. NB ahsanteni kwa kunisikiliza Click to expand... Huyo mtu alishakuacha siku nyingi sana na sasa hivi ana mpenzi mwingine sasa unachokitafuta ni nini tena broo ? Mtu ameshakuacha bado unamngangania tuuu