majiyabetri
Member
- Feb 8, 2016
- 8
- 3
geordavie ni tatizo.Hata mimi nimemshuhudia channel ten ila hana tofauti na wengine kama akina Gwajima,Dr Geo Davie nabii mkuu,Kakobe,Mwingira,mzee wa Upako n.k
Imani yako ndio itakuponya na sio kufuata mkumbo
Amini ya kuwa Yesu ni mwana wa Mungu baaasi na anaishi daima nasi,tuwe na imani naye.
Siku hizi hata wachawi wanafanya miujiza hivyo bila kuwa na imani dhabiti hutaweza kumtofautisha nabii wa kweli na nabii wa uwongo.
Omba neema ya Mwenyenzi Mungu ili uweze kuwatofautisha.
