Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,042
- 134,327
Mungu nisaidie kuamini kama kweli umewapa watu wako uwezo wa kufanya mambo makubwa kiasi hiki. Nimeshuhudia semina za Prophet Frank kupitia Chanel 10 na Star TV.
Daah jamaa ana upako wa kutisha,anaponya within a minute.Kina bibi wanatupa magongo within a minute.Kama Yesu karudi vile kinachovutia zaidi ni kutoa historia ya matatizo ya watu katika namna ya kipekee.
Kwamba "wewe ulilogwa na fulani,mahali fulani,kwa sababu fulani". Anatoa mfano wa kukausha kidonda cha mtu ndani ya dakika 3.Jamani mnamsomaje huyu jamaa
Daah jamaa ana upako wa kutisha,anaponya within a minute.Kina bibi wanatupa magongo within a minute.Kama Yesu karudi vile kinachovutia zaidi ni kutoa historia ya matatizo ya watu katika namna ya kipekee.
Kwamba "wewe ulilogwa na fulani,mahali fulani,kwa sababu fulani". Anatoa mfano wa kukausha kidonda cha mtu ndani ya dakika 3.Jamani mnamsomaje huyu jamaa