Hi wapendwa JF.
Mi nilifanya vibaya form 4 kwa kupata 0. Nimekuwa na mawazo ya kureseat ila nimeshauriwa nifanye NABE na VETA wameniambia kuwa nikifanya hadi stage 3 nitaweza kujiunga chuo kati ya CBE, IFM, TIA kwa ngazi ya Diploma.
Naamini JF kuna watu wengi, naombeni mnipe uhakika wa hiki nilichoambiwa na VETA na kama kuna aliyefanya NABE na kufanikiwa kujiunga chuo hasa hivyo nilivyotajiwa nitashukuru.