Nabaki Njia Panda Bado Sijafanya Maamuzi

SuperImpressor

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
1,504
646
1. Hivi nikiwa na blog ya google na pale nitakapokuwa na tovuti yangu binafsi, ni wapi ambapo patanipatia zaidi hela kutokana na visitors watakaotembelea ukurasa wangu?

2. Naonaga wamiliki wa tovuti mbalimbali wanaweka link za downloads kwenye site zao na link hizo unakuta ziko nje ya site zao kama vile mediafire, 4shared, Google drive, mega nk. Je huko ndiko wanakopata storage kubwa au wanachotafuta huko ni malipo kwa files zitakazodownlodiwa? Kwani huko kwenye website zao hawalipwi?


Sent from my cupboard using mug
 
1. Hivi nikiwa na blog ya google na pale nitakapokuwa na tovuti yangu binafsi, ni wapi ambapo patanipatia zaidi hela kutokana na visitors watakaotembelea ukurasa wangu?

2. Naonaga wamiliki wa tovuti mbalimbali wanaweka link za downloads kwenye site zao na link hizo unakuta ziko nje ya site zao kama vile mediafire, 4shared, Google drive, mega nk. Je huko ndiko wanakopata storage kubwa au wanachotafuta huko ni malipo kwa files zitakazodownlodiwa? Kwani huko kwenye website zao hawalipwi?


Sent from my cupboard using mug
kuna kitu nadhani bado hujakielewa
hiyo mitandao mfano media fire wao wanakupa storage ya kupakia data zako na kisha unaweza kumtumia mtu link apakue sio kwamba unalipwa huko hakuna kitu kama hicho
na kitu ulichokilenga sana wewe ni kupata pesa ndio tatizo hilo mimi nilikuwa natumia blog ya google tu nililipia domain nikaweka themes yangu na nilikuwa naingiza watu zaidi ya 3000 per day
zingatia mambo muhimu kwenye blogs iwe ni ya kutengeneza kwa codes au za google lazima uwe na niche blogs na content zenye kuvutia raia sio za kukuvutia wewe afu raia wako hawazipendi
kuna njia mbalimbali za kupata pesa
1= kupitia lengo la blog yako kama ni ya biashara basi utapata pesa kutoka kwa wateja wako
2= kupitia matangazo unaweza kupata matangazo ya makampuni mbalimbali kama adsence popads na mengine mengi au hata makampuni yetu ya simu haya
kupitia downlods unaweza kutumia upload boy hiyo inakulipa pindi raia wakipakua kitu chako lakini sikushauri utumia hiyo maana itawakera watumiaji wako na utawapoteza
 
kuna kitu nadhani bado hujakielewa
hiyo mitandao mfano media fire wao wanakupa storage ya kupakia data zako na kisha unaweza kumtumia mtu link apakue sio kwamba unalipwa huko hakuna kitu kama hicho
na kitu ulichokilenga sana wewe ni kupata pesa ndio tatizo hilo mimi nilikuwa natumia blog ya google tu nililipia domain nikaweka themes yangu na nilikuwa naingiza watu zaidi ya 3000 per day
zingatia mambo muhimu kwenye blogs iwe ni ya kutengeneza kwa codes au za google lazima uwe na niche blogs na content zenye kuvutia raia sio za kukuvutia wewe afu raia wako hawazipendi
kuna njia mbalimbali za kupata pesa
1= kupitia lengo la blog yako kama ni ya biashara basi utapata pesa kutoka kwa wateja wako
2= kupitia matangazo unaweza kupata matangazo ya makampuni mbalimbali kama adsence popads na mengine mengi au hata makampuni yetu ya simu haya
kupitia downlods unaweza kutumia upload boy hiyo inakulipa pindi raia wakipakua kitu chako lakini sikushauri utumia hiyo maana itawakera watumiaji wako na utawapoteza
Domain uliyolipia ni ile ya google ya kulipia au ni zile za .com nk.?

Sent from my cupboard using mug
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom