hapana mimi siwezi kumshauri mtu kuhusu swala la mapenzi na dini, nadhani decision is within the person him/her self, kikubwa mtu kabla hajafanya maamuzi aangali moyo wake, na suala la imani si kikwazo kwa kila mtu ila kwangu mimi niliona ni kikwazo kwa sababu mimi na yule guy tulikua tunatofautiana sana katika mambo mengi kutikana na imani yake na mimi kuna vitu ambavyo sikuwahi kuvizoea kutonana kwamba nimelelewa katika mazingira ya imani ya kikristo so it was so hard on my side.
mwenzangu alikua ni muislamu sasa huoni hiyo tofauti ilikua kubwa sana
True kinacho-matter ni furaha yako na wewe kuona ni mambo gani huwezi kuishi nayo. Ni kweli kila mtu kuna line he/she can not cross (its only fair) lakini ningejiweka on his shoes, maybe kama ningekuwa nakupenda sana wewe na ninajua maisha uliyokulia na vitu vingine ambavyo hupendi kufanya maybe ningefanya hivyo vitu faragha bila kukukwaza yaani kwa wakati wangu (in short we share everything but when it comes to Imani we agree to disagree)
Ungefafanuwa mkuu unafki wangu ni upi? au siku hizi kusema ukweli ndiyo unafki? Muislamu na KAFIR wapi na wapi?
thats good ila unajua kuna mtu hata aende ulaya akae miaka hamsini kuna tabia hawezi kuziacha pamoja na some attitudes sasa i tried lakini niliona kwamba somethings may never change then i decided to find my way
baada ya kuondoka ndio mtu nadai atabadilika sasa it was too late three years mnapigizana kelele kwamba i dont want this..... i dont want that lol mi nlichoka nikaona hapa hamna future kwani mi wanaume walikua hawanioni? walikua wanafukuzana tena wa maana lol ya nini kujichosha na mtu asiyeelewa wakati muda unaenda tu
i've been in dat shoe,i couldnt be a muslim my self,..but if she wants u to change your religion,that means she want u to be someone else..but the truth remains that u r always a muslim,and if you change to be a christian it wont be because u truly luv jesus,would it?
au tungeuliza kwa upande wa pili. Yeye ana mpango gani nawe?
Halafu watoto watakua na kulelewa kwa imani ipi
Mkuu Marriage ni:- "The legal union of a man and woman as husband and wife", hivyo basi sio kwamba ni amri ya Mungu ndio sababu kuna ndoa za kiserikali.., hii ni status ya watu walio pamoja ambayo community zimejiwekea, na husaidia sana hata baadae inapokuja mambo ya divorce na urithi.
Ndio maana nikasema badala ya mmoja wao kuacha kile anochokiamini na kubadilisha kingine (kwa kulazimishwa) ni bora waendelee na kila mtu imani yake ila muungano huwe tu kwenye mume na mke (kisheria)
Hio itakuwa ni decision yao wawili (wazazi), ila watoto watakapokua na kujua na kuelewa itakuwa ni choice ya watoto, kuna familia nyingi nimeziona baba mpagani mama mkristo nusu watoto waislamu na nusu wakristu, wengine wapagani (its just a choice)
Nimekuwa na mpenzi wangu wa mwaka mmoja,siku za hivi karibuni alianza kupuuza simu zangu na nilipochimbua zaidi na kuweza kumuhoji aliniambia ananipenda ila Dini ndio tatizo.mimi ni muislamu naye ni mkristo.na mimi siwezi kubadili dini,na kumuacha ni vigumu sana kwani nampenda zaidi ya sana.wakubwa nisaidieni maana sijui la kufanya.
Kwahio dini inaruhusu kuwa na mwanaume nje ya ndoa asiye dini yako ila tu msiwe pamoja kisheria ?, Anyway ndio maana nikasema hapa ni muhusika mwenyewe kutokana na imani zake na anavyojisikia ndio anaweza kuamua, ila isiwe mtu kuamua sababu ya shinikizo la mtu, community au ndugu na jamaa. Tena huyo jamaa aliokuja na vitisho nadhani uliepuka vingi sababu hio tabia ya kibabe yake inatisha zaidi na ingevunja mahusiano yenu kabla ya hizo tofauti zenu za imani
Nafikiri unaskip the point!.....nimekuuliza Mwislamu na KAFIR wapi na wapi? huyu dada ameshaijuwa kweli na tayari ana mwimba kwaya wake kanisani, wa kulaumiwa hapa ni yeye kutojuwa mapema kwamba muislamu ndugu yake ni muislamu mwenzake.Maneno yako hayaendi sawa. Hebu soma tena maelezo yako.
Nafikiri unaskip the point!.....nimekuuliza Mwislamu na KAFIR wapi na wapi? huyu dada ameshaijuwa kweli na tayari ana mwimba kwaya wake kanisani, wa kulaumiwa hapa ni yeye kutojuwa mapema kwamba muislamu ndugu yake ni muislamu mwenzake.
Ndoa ni nini ?Wewe unataka usaidiwe nini na unajua kuwa kama wewe ni muislamu ukiolewa na mkristo hakuna ndoa hapo.
Sun Wu ndoa ina tafsiri nyingi kulingana na imani, tamaduni na sheria za nchi. Kwa muislamu yeyote uislamu wake unakuja kwanza kabla ya kitu kingine na ndio maana waislamu wamekuwa wakidai kuwa na mahakama ya kadhi (Naomba tusiende huku, maana hii itakuwa ni sredi inayojitegemea). Kwa tafsiri ya ndoa kwa mujibu wa uislamu, hakuna ndoa kati ya mwanaume mkristo na mwanamke muislamu. Hivyo basi huyu dada kama anataka ndoa na bwana wa kiislamu itabidi huyo jamaa awe muislamu au labda huyu dada atoke kwenye uislamu. Kwa hiyo utaona kuwa kama hataki kubadili dini, basi hawezi kupata ndoa halafu abaki kuwa muislamu. Nadhani umenisoma.Ndoa ni nini ?
Mkuu nadhani kwenye kila imani ya mtu wanaamini kwamba imani yao inakuja kwanza kabla ya kitu kingine.., lakini tunaona watu wanavunja sheria za imani zao kila siku kwa kisingizio cha ubinadamu mfano, pombe, anasa tofauti tofauti, ufisadi n.k. hivyo basi ninaweza nikasema udhaifu na ubinadamu kwanini usiende mpaka kwenye kipenda roho..., ? (furaha ya moyo).Sun Wu ndoa ina tafsiri nyingi kulingana na imani, tamaduni na sheria za nchi. Kwa muislamu yeyote uislamu wake unakuja kwanza kabla ya kitu kingine
Nimekuwa na mpenzi wangu wa mwaka mmoja,siku za hivi karibuni alianza kupuuza simu zangu na nilipochimbua zaidi na kuweza kumuhoji aliniambia ananipenda ila Dini ndio tatizo.mimi ni muislamu naye ni mkristo.na mimi siwezi kubadili dini,na kumuacha ni vigumu sana kwani nampenda zaidi ya sana.wakubwa nisaidieni maana sijui la kufanya.