Na huyu una mkumbuka?

Na huyu una mkumbuka?

papag

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
1,171
Reaction score
1,733
Lete maneno
FB_IMG_1570173965575.jpeg
 
Huyu jamaa nilimshusha pale nilipomuona posta ya zamani kavaa tracksuit na malapa japo niliendelea kuupenda ule mwimbo wake lakini si yeye
 
Huyu jamaa nilimshusha pale nilipomuona posta ya zamani kavaa tracksuit na malapa japo niliendelea kuupenda ule mwimbo wake lakini si yeye
Kwanini ulimshusha mkuu? Hapo nadhani utakua umefanya hivyo kwavile tu alivaa malapa

Je ulijaribu kufikiria kwanini alivaa malapa? Unahakika hana tatizo la miguu? Unahakika hakua ameacha viatu vyake visafishwe kwa shoe shiner pengine masafa mafupi tu kutokea hapo ulipomuona?

Unaupenda mziki wake lakini ulishawahi kufanya jitihada za kununua kazi zake kwa njia halali ili uwe umemsapoti kiuchumi ndipo upate uhalali wa kumshusha kwa kuvaa malapa?

Kwa maoni yangu usinge mtoa thamani kwanza bali ungempa kila dharura kwamba yawezekana alikua na sababu ya kuvaa hayo malapa mahali na wakati ulipomuona, au unafikiri alipenda na kwamba alidhani ndio fasheni ya kutembelea mjini? Tuwe positive wakati wote tunapo judge kuhusu wenzetu
 
Back
Top Bottom