Na hili liwe funzo kwa CCM, watambue kuwa Upinzani umeshakita mizizi ndani kabisa ya mioyo ya Wananchi

mcoloo

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
918
1,401
CCM walijaribu kuja na Siasa za kishamba za kuwanunua Madiwani na Wabunge, kisha wakawarejesha kwenye hizo nafasi kwa kisingizio kuwa Wananchi wao pia walihama nao na hivyo wakawapigia kura.

Hebu leo waone wananchi wanavyowasuta kwa kile walicho kifanya. Upinzani umesha jikita ndani kabisa ya mioyo ya wananchi na kujaribu kuua ni kupoteza muda bure.
 
Jambo hilo liko wazi kabisa upinzani siyo kupinga maendeleo bali ni kuwa na mtazamo chanya wenye kujenga imani ya ndani kabisa juu ya mambo fulani fulani ya kiasiasa, kiufupi walioko vyama vya ushindani wanajitambua siyo rahisi kuwageuza kwa kutumia propaganda.
 
Watanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.

Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,.

Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.

Huyu mtu hatufai kabisa.
 
Upinzani ulishakufa kitambo, kinacho fanyika watu ni kwenda kushangaa tu. Majibu rasmi watapigia mstari kama upinzani bado upo ni matokeo ya uchaguzi.
Kipimo hicho kinaweza kuwa sahihi endapo uchaguzi ni Huru,Uwanja sawa wa mchezo na marefa wakachezesha Fair Play kwa kufuata sheria za mchezo.Lakini kwa uchaguzi wetu,sins uhakika kama ni kipimi kinachoweza kutumiwa kutathmini ubora wa Mh. Magufuli na CCM yake.

Tusipende kuwalazimisha Watanzania waongozwe na nani au chama gani bila figisu za kuwanyima hata fomu ya ugombea?
 
Hakuna Chama kimojakimoja kinachoweza kuiangusha CCM katika miaka 15-20 ijayo. Kunatakiwa vyama vilivyo ungana tena vilivyo imarara kwelikweli.
Wanaofanya maamuzi sio vyama bali wananchi.Hicho chama zama zake ndio zinaishilia ivyo.huko miaka 20 ni mbali sana.
 
Watu wanakuja kushangaa mnaouita muujiza unaoishi nyie mnadhani wapika kura, chopa hukusanya watu nyomi kwani huwa inapigiwa kura? ...mwachekesha sana, mtashangaa mtapokutana na wajumbe live, yenu ni 5% tu sa mtajaza wenyewe mtaigawana vipi.
 
Magufuli ajitoe u kwenye Uchaguzi maana hataweza kushinda Uchaguzi Mkuu .
Jipe moyo ukilia.. watu wanatoka kutizama wageni.. unawandika kama ndio wamepiga kura.. subiri muone historia ikitokea.. kwa ushindi wa Magufuli.
 
Yani kuna wmama niliwasikia wakiongea kuhusu kuipenda CHADEMA na kuichukia ccm kwa viwango vya juu sanaaaa.Sikuamini.Ccm wanalazimisha tu kutawala.Watanzania hawawataki
 
Back
Top Bottom