Martin Maqway
Member
- Sep 22, 2013
- 19
- 2
----- 1 alitoroka kazin nakwenda kwake kufika kwake alimkuta bosi na mke wake(mke wa -----)jamaa alipoona alinyata taratibu na kuridi mbio kazin alipofika kazin alishukuru mungu kwa vile hajaonwa na bosi huku akisema angejua nimetoroka kazn ingekuwa msala ahhhhhh ningefukuzwa! kama ni ww mwana jf ungefanya nini?