OMARY RAMADHANI
Senior Member
- Mar 6, 2014
- 172
- 183
Habari za jioni waungana,
Kuna jambo linanitatiza katika ufaham wangu kuhusu huu mzunguko wa hizi sayari Dunia,Jua na Mwezi, watafiti wanasema sayari ya mwezi huizunguka dunia kutoka magharibu kwenda mashariki na sayari ya jua huizunguka dunia kutoka Mashariki kwenda magharibi, "sina shaka na hilo".
Lakini kinachonitatiza ni matoteo ya kimzunguko yanayo onekana kwa macho, na kwaupande wangu naona ni kinyume na mzunguko kiuhalisia, iko hivi:- mwezi unapo andama hutokea upande wa Magharibi na safari yake huelekea upande wa Mashariki ya Dunia.
Lakini mwezi huu unapo andama nusu mwezi ambayo huanza kuchomoza kwa nini huonekana ikiwa upande wa chini wa duara ya mwezi? Kwa nini nusu hii inayo chomoza isiwe upande wa juu wa duara ya mwezi kama ilivyo katika sayari ya jua pale linapo chomoza? swala lingine mwezi unapoandama kwanini hupanda na baada tu ya masaa machache hurudi tena uliko toka? swala la mzunguko wa kutoka Magharibi kwenda Mashariki hapa linanafasi gani?
Naomba kuwasilisha.
Kuna jambo linanitatiza katika ufaham wangu kuhusu huu mzunguko wa hizi sayari Dunia,Jua na Mwezi, watafiti wanasema sayari ya mwezi huizunguka dunia kutoka magharibu kwenda mashariki na sayari ya jua huizunguka dunia kutoka Mashariki kwenda magharibi, "sina shaka na hilo".
Lakini kinachonitatiza ni matoteo ya kimzunguko yanayo onekana kwa macho, na kwaupande wangu naona ni kinyume na mzunguko kiuhalisia, iko hivi:- mwezi unapo andama hutokea upande wa Magharibi na safari yake huelekea upande wa Mashariki ya Dunia.
Lakini mwezi huu unapo andama nusu mwezi ambayo huanza kuchomoza kwa nini huonekana ikiwa upande wa chini wa duara ya mwezi? Kwa nini nusu hii inayo chomoza isiwe upande wa juu wa duara ya mwezi kama ilivyo katika sayari ya jua pale linapo chomoza? swala lingine mwezi unapoandama kwanini hupanda na baada tu ya masaa machache hurudi tena uliko toka? swala la mzunguko wa kutoka Magharibi kwenda Mashariki hapa linanafasi gani?
Naomba kuwasilisha.