CCM Music
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 1,036
- 1,782
Asilimia 100% ya watanzania wanatumia mitumba ama wamewahi kutumia mitumba, kuanzia nguo, viatu, magari, machines, na kadhalika.
Siku mzungu aki maindi tu, halafu akatishia kutoingiza tena mitumba nchini, basi tumekwisha.
Tuache kumtukana na kumuita beberu. Tuwe na nidhamu jamani.
Siku mzungu aki maindi tu, halafu akatishia kutoingiza tena mitumba nchini, basi tumekwisha.
Tuache kumtukana na kumuita beberu. Tuwe na nidhamu jamani.