mzumbe vp??

Wajumbe vp Mzumbe university hawajatoa majina ya waliochaguliwa kujiunga mwaka huu?
 
Kwanini mkuu unasema hivyo?
kwa ufupi wanahelewaga had wanakuwa wamwisho kutoa.kwahiyo vyuo ulivyoviomba uwe unaangalia,kama haupo bas utakuwa umechaguliwa.mzumbe wapo smart,ushindan ni mkubwa ndio maana nasema km ulifanya vzuriidgo usihofu.na km uliweka chaguo la kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…