Smartbeing
JF-Expert Member
- Apr 7, 2014
- 323
- 422
Kama alumni wenu ninapenda kujua kinachoendelea huko lakini nafikiri ni zaidi ya miezi 6 siioni hata website yenu hewani. Tulizoea kuwaona through mu.ac.tz au hata ku-google direct name lakini siku hizi naona ile ya Mbeya na ya Dar tu, Main kulikoni? Je ni kweli kuwa Mzumbe ya ukweli iliondoka na Prof. Kuzilwa na Kamuzora? Kipindi hiki mnajua tuko ktk information age na huwezi kumkonyeza mtu ukiwa gizani, kindly do the needful
Mkwara: Mkichelewa kujitokeza mtasababisha watu waanze kuwakatia kiu
Mkwara: Mkichelewa kujitokeza mtasababisha watu waanze kuwakatia kiu