Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 1,968
- 2,460
Wazee wa JamiiForums unavyozungumzia suala la shule za serikali zinazoingia 100 Bora katika matokeo ya mtihani wa Taifa kidato Cha nne ni special school pekee zinazoambulia patupu je special school ipi unaiadmire zaidi ya zingine zote wadau toa na sababu Mimi naipenda zaidi Mzumbe kwenye Elimu na ustrict wao