Kuna tofauti gani ya kimaudhui na nyimbo za bongo flavor za kina konde genge na diamond?Sasa wewe mtu anaimba Mwaga maji tucheze kikambale, Nakukubali baharia wangu, amsha amsha, peperusha bendera, shika dera, mara wataje viungo vya uzazi, mara style za kukunjana..matusi matusi tuuuu
halafu unategemea tutoboe kimataifa?
OKAY KUMBE EEKuna tofauti gani ya kimaudhui na nyimbo za bongo flavor za kina konde genge na diamond?
Vijana wanakwenda na upepo wa soko unavyovuma pamoja na wanachokipenda hadhira.
Hata mapiano ikifasiriwa waweza kukuta ni chefu chefu pia.
Dunia imeharibika sana kimaadili mazee!