4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 11,317
- 12,991
Na iyo mkuu wenda ni miaka ya kwenye makaratasi wenda inazidi hapoAna miaka 80 huyo kazaliwa 1945
Na iyo mkuu wenda ni miaka ya kwenye makaratasi wenda inazidi hapoAna miaka 80 huyo kazaliwa 1945
Tangazo la chai jaba linaweza kuwa ni sura yake ila wakirudisha leo wanaweza kusema chai chaba wa 2025 ni yeye.Wiki kadhaa zilizopita kuna watu walimmisi Mzee Wasira wakawa wanauliza Yuko wapi?
Leo kaibuka katika mkutano wa CCM huko Dodoma akiwa na nguvu zaidi, Ari zaidi na Kasi zaidi.
View attachment 3349906
Ana zaidi ya 87. Nimemfahamu tangu 1979 akiwa mkuu wa mkoa Mara.Na iyo mkuu wenda ni miaka ya kwenye makaratasi wenda inazidi hapo
Job anaonekana kanuna, kunani?
Mimi na Lucas ni watu wawili tafauti sana!Lucas kwenye ID ya pili
ThanksAna zaidi ya 87. Nimemfahamu tangu 1979 akiwa mkuu wa mkoa Mara.
Ameishi miaka mingi si haba, 75+ ni nafasi adimu hizo.Huyu ktk kampeni hamalizi, Mungu atampenda zaidi na kumnyakua
So wewe ni chawa mzoefu au ndo unaanzaMimi na Lucas ni watu wawili tafauti sana!
Kwanza Lucas ana mfumo wake wa uandishi ambao mimi siwezi kumuiga.
Pili Lukas ni muwazi sana! Sioni kama anahitaji kuwa na ID ya pili kwakuwa hana anachoogopa!
Mimi niseme tu ni shabiki wa huyu mzee Wasira .
Ni katika wanasiasa wanaonivutia kuwafiatilia kutokana na kwamba pamoja na uzee wake bado ni hodari wa kujenga hoja zinazofanyamanzisha chadema.
Saluti kwa mzee Wasira.
Sawa kabisa. Kubwa jinga halafu linaongoza nchi kwa miaka zaidi ya sitini na wale wanaojifanya wana akili kuliko CCM wanalilia mitandaoni kwasababu hawana namna yoyote ya kukabiliana na wanayemuita kubwa jinga! Ahahahahaha!!Jitu flani kubwa halafu kubwa jinga
Mzee Wasira alikuwa kwenye mapumziko ya kawaida , kwa ajili ya kuangalia mambo ya familia yake na shughuli zake binafsi.Kapona.?!!
Inasemekana alikuwa mahtuti.