Mzee Wasira huyu hapa

Mzee Wasira huyu hapa

Sekunde chache

Senior Member
Joined
Mar 3, 2025
Posts
104
Reaction score
73
Wiki kadhaa zilizopita kuna watu walimmisi Mzee Wasira wakawa wanauliza Yuko wapi?

Leo kaibuka katika mkutano wa CCM huko Dodoma akiwa na nguvu zaidi, Ari zaidi na Kasi zaidi.

IMG-20250529-WA0008.jpg
 
Suo miaka mingi nitakuwa mwenyekiti wa hiki chama nitaleta mabadiliko sana.
 
Mi mizee mi chawa ya Taifa ndo hii...kuna muda aliuza samaki toka MZA to DSM alikwama.kabisa maisha
Kile kipindi alipojiunga NCCR Mageuzi baada ya kukatwa jina CCM kwa fitna..akichoka balaa.
Tumsamehe tu.
 
Wiki kadhaa zilizopita kuna watu walimmisi Mzee Wasira wakawa wanauliza Yuko wapi?

Leo kaibuka katika mkutano wa CCM huko Dodoma akiwa na nguvu zaidi, Ari zaidi na Kasi zaidi.

View attachment 3349906
Uyu mzee binafsi sina shida nae maana najua kwa sasa kama yupo na miaka 70 kiona miaka 70 mingine ni ndoto ,ni mda wake wa kujenga Taifa sio bomoa Taifa baada yake kuna kizazi chake na cha watz wengine wanakuja, so atulie vizuri katika cheo husika , sio kuleta mzaa, taifa ni kubwa kuliko umri alio nao ,asema Bwana
 
Uyu mzee binafsi sina shida nae maana najua kwa sasa kama yupo na miaka 70 kiona miaka 70 mingine ni ndoto ,ni mda wake wa kujenga Taifa sio bomoa Taifa baada yake kuna kizazi chake na cha watz wengine wanakuja, so atulie vizuri katika cheo husika , sio kuleta mzaa, taifa ni kubwa kuliko umri alio nao ,asema Bwana
Ana miaka 80 huyo kazaliwa 1945
 
Back
Top Bottom