...bado linafanyiwa kazi; hasa kusumbua.Source plse
Source n00b wa JF.
Thanks mods kuunganisha thread hizi mapema
Wakuu,
Taarifa ambazo zimenaswa toka Serena Hotel ni kuwa Judge J. S. Warioba (Mwenyekiti wa Tume ya Katiba) ameanguka ghafla pale hotelini na sasa amekimbizwa hospitali.
Sipendi kuandika 'tetesi' za kuanguka kwake isije ikachukuliwa kama kuihukumu hoteli lakini muda si mrefu ukweli utajulikana.
Tumwombee afya njema mzee wetu
Fegi zitamuua huyu mdingi mapafu yameziba
nothing goes right with this country.....
always kuna kitu mfano wa mazingaombwe...
Janjaweed una ufahamu wowote wa stahili za Waziri mkuu mstaafu au umeamuwa kuropoka tu?
Sio sawa! Mbona wengine wametuhumu magamba tukaona sawa,lakini wakituhumiwa magwanda matusi yanaanza.Get well mzee wetu Mungu yupo na wewe!
What do you mean.Pole sana Mzee Warioba Mungu hatakujalia utapona.
...sijakuelewa mkuu!Mungu hatakujalia .
Mzee Warioba akidhurika kuna chama kilikaribishwa Ikulu kitakuwa na mkono wake....mambo ya katiba.