Duh amani inaletwa na mungu mwenyewe wewe umeanza kuhubiri juzi juzi tu ila amani tanzania ipo miaka yote , Mzee wa upako unatakiwa kujenga taasisi imara ambayo itakuwezesha kuonekana imara kama walivyofanya walutheri na wakatoliki vimginevyo utaendelea kupiga ukelele mimi huwa nafuatilia maombezi yake sana mwaka juzi alikuwa akimshambulia kakobe sana kwa kitendo chake cha kuwakataza waumini wake kujipendezesha hiyo ilikuwa ni baada ya kakobe kumbeza mzee wa upako kwa kuendesha maombi ya kuleta utajiri hivyo anaweza kuona kuwa wao bado hawajakomaa kuweza kuaminiwa wanavyotaka kwani hata wenyewe hawaheshimiani.
Hata ukianzisha leo benki hauwezi kupewa nafasi sawa na benki kongwe zilizo