B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
kuna mzee mmoja alikuwa basha lami[mombasa]nzimaa,yani hakunaa kijana ambaye hakuwai kumchokoraa...siku mojaa alimwambia mwanae[mwanangu hapaa kijijini kwetu hakuna kijana ambaye sija mpitia]kijana[sio kwelii babaa],mzee[kama uwamini we nenda kamtie dole kijanaa yoyote alafu usiniambie jina mi ntakwambia ni nani]kinana akafanya hivyo..jioni alivyo rudi akamwambia baba yake eehe!!niambie huyu nanii?mzee akanusa kidole akamwambia huyu si swedi wa mtaa wa pilii..dogo akagunaa akurithikaa,kesho akaenda kumchoma dole mwingine akamletea baba yake anuse,mzee akamwambia mwanangu huyu yusufu mtoto wa mzee kijiti..dogo akaonaa hataa haiwezekani...akajichoma dole mwenyewe akamwambia sasa ukijua huyu nanii ntaamini,mzee kunusaa tu..aka stukaaa na kumwambia dah!mwanangu kamchezo hakaa umeanza lini tena>>>>