Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,693
- 218,213
Fredrick Sumaye, ambaye ni Waziri Mkuu wa Zamani wa Tanzania, akihojiwa na wanahabari juu ya kipi kianze kati ya Katiba mpya ama Tume huru ya Uchaguzi, amesema, Nanukuu " HAIWEZEKANI KUPATA MTOTO BILA MAMA " mwisho wa kunukuu.
Ameendelea kusema kwamba UKISHAPATA KATIBA MPYA BASI BILA SHAKA TUME HURU ITAKUWEMO NDANI YAKE, amedai ni lazima kwanza ipatikane Katiba Mpya na hivyo vingine vyote vitakuwa ndani yake .
Chanzo : MwanaHalisi
Ameendelea kusema kwamba UKISHAPATA KATIBA MPYA BASI BILA SHAKA TUME HURU ITAKUWEMO NDANI YAKE, amedai ni lazima kwanza ipatikane Katiba Mpya na hivyo vingine vyote vitakuwa ndani yake .
Chanzo : MwanaHalisi