Mzee Punch - "The incognito"!

nimetoka bila bila,.sisi tuliosoma IFM hatujui hayo ma hall yenu sijui 5,7..duh kiufupi nimetoka bila ila mleta hiyo kamba kachemka 99 mabibo hostel ilikuwa bado maana mimi nimeiba sana vyuma vya wachina pale...
 

"Mzee" alikuwa mtambo wa kurekebisha tabia, siamini kuwa kuna mtu aliwahi kudhalilishwa na "Mzee".....ha ha ha haaa...!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…