LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,150
- 11,197
Nilikuwa mteja wao mzuri sana wa kupanda basi zao Arusha,Nairobi Rombo ndio ulikuwa usafiri wangu na kusafirisha parcels kila kitu
Sasa juzi kati hapa kuna binti inasemekana ni mtoto wa kwanza wa mzee ndio kawekwa ofisini pale yule dada inshort hajui biashara kabisa yaani ndio naamini kwa nini watoto wa kihindi wakiachiwa biashara hazifi ila watoto wa kiafrica wakiachiwa mali zinakufa
Nimeenda leo na kiparcel kidogo tu thamani haizidi hata 40,000 kinaenda Nairobi kufika pale nikaambiwa na huyo mtoto wa boss kusafirisha 25,000 hadi Nairobi , nikasema basi naomba nilipe 20,000 nisaidie , nikashangaa hela yangu imewekwa pembeni kwa nyodo yani hadi wasaidizi wake pale wameshika mdomo ndio hivyo wafanyeje
Ikabidi nielekezwe na watu wa pale pale kwa siri, niende Tahmeed , kwenda Tahmeed pale nikaambiwa 10,000 tu tena wanatoa risiti za electronic, kwa namna hii Dar express wasipobadilika kampuni itakuja kuwafia mikononi kama meridian ni swala la muda tu
Pia niwashauri watu ambao mna makampuni humu msipende kuweka ndugu ofisini mkiwaweka watawaulia kampuni ,hamna watu wanaofanya kazi kwa nyodo kama ndugu maana wanajua hamna wakuwafukuza.
Sasa juzi kati hapa kuna binti inasemekana ni mtoto wa kwanza wa mzee ndio kawekwa ofisini pale yule dada inshort hajui biashara kabisa yaani ndio naamini kwa nini watoto wa kihindi wakiachiwa biashara hazifi ila watoto wa kiafrica wakiachiwa mali zinakufa
Nimeenda leo na kiparcel kidogo tu thamani haizidi hata 40,000 kinaenda Nairobi kufika pale nikaambiwa na huyo mtoto wa boss kusafirisha 25,000 hadi Nairobi , nikasema basi naomba nilipe 20,000 nisaidie , nikashangaa hela yangu imewekwa pembeni kwa nyodo yani hadi wasaidizi wake pale wameshika mdomo ndio hivyo wafanyeje
Ikabidi nielekezwe na watu wa pale pale kwa siri, niende Tahmeed , kwenda Tahmeed pale nikaambiwa 10,000 tu tena wanatoa risiti za electronic, kwa namna hii Dar express wasipobadilika kampuni itakuja kuwafia mikononi kama meridian ni swala la muda tu
Pia niwashauri watu ambao mna makampuni humu msipende kuweka ndugu ofisini mkiwaweka watawaulia kampuni ,hamna watu wanaofanya kazi kwa nyodo kama ndugu maana wanajua hamna wakuwafukuza.