Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,686
- 106,811
Salute!
Heshima yako mzee Mohamed Said natumai u mzima wa afya.
Mzee hongera kwa uwezo wa uandishi wako wa makala za historia ya taifa letu hili.
Mimi nimekua nikifuatilia sana mada zako hasa kipindi cha nyuma lakini siku hizi si msomaji tena wa baadhi ya mada zako kutokana na sababu nitakazo zieleza hapa chini.
Katika mada zako nyingi za historia ya taifa hili hua nikiangaliama Context naona mada zako zote zinalia kwa uchungu huku zikitoa ujumbe kua Waislamu tunaonewa, nikimaanisha kwamba mada zako karibu zote hua zina chembe chembe za Udini. Baadhi ya member hasa mkuu Pascal Mayalla wamejaribu kuchambua mada zako na kuonyesha ni jinsi gani zilivyojaa mahaba ya dini, na upotoshaji wa historia pia hata wasomaji wako ambao mko imani moja wanadiriki kuupinga hata ukweli ili tu kumtetea mwarabu na dini yake. Mfano kwenye mada aliyoanzisha mkuu Pasco akionesha jinsi Waarabu walivyowatesa wazawa wa Zanzibar, watu wengi (Muslims) waliukataa ukweli huona na kukubali kumtetea Mwarabuu kisa tu ndio alieleta dini hiyo.
Mzee wangu, wewe ni mwandishi na unazifahamu vyema ethics za mwandishi, moja ya sifa kuu za mwandishi ni kutokuandika habari fulani kwa kuweka mbele emotions na mahaba yake juu ya kitu anachotaka kutoa taarifa, mwandishi unatakiwa uandike/utoe habari ya kitu hicho ukiwa kwenye free state, yaani uandike kitu kama kilivyo bila kuweka mahaba yako juu kitu hiko. Kwa hilo mzee wangu naona umefeli kulitekeleza labda lengo lako kuu hua ni kuonyesha jinsi gani ndugu zetu mnavyo kandamizwa.
Nikupe mfano kidogo, humu JF kuna mwandishi wa makala mbalimbali anaitwa The Bold (habibu B Anga) ni mwislamu pure! Lakini kamwe akiandika kitu ambacho hua kinagusa imani yake hua anaandika kama kilivyo bila kuweka upendeleo. Ref uzi wa: Adhabu ya kuchinjwa mbele ya kadamanasi Saudia.
Lakini mzee hata mimi mwenyewe ni Mkatoliki lakini kama nikichangia mada au kundika mada juu ya mauaji yaliyofanywa na Kanisa hili siwezi kubisha au kuandika tofauti na ilivyokua kisa ni kanisa langu, siwezikubisha wala kuandika kwa upendeleo kua kanisa katoliki kipindi cha Holocust liliagiza (Papa) wananchi wote wa nchi ya Uholanzi
(Netherlands) wauawe.
NB: Yote hayo najaaribu kukuonyesha ni jinsi gani kuna udini kwenye mada zako, lakini lengo langu sijaandika uzi huu ili tujadili udini wala dini yako ila lengo langu hasa kuandika huu uzi ni
Mkuu, kama nilivyokwisha kukuonyesha jinsi mada zako zilivyo na udini, sasangoja niende kwenye lengo la uzi huu..Mada zako nyingi nilizowahi kusoma kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika, ukiangalia nyuma ya pazia ujumbe ulio jificha unaonyesha kua Mwl. Nyerere hakutakiwa kuwa recognise kama mtu aliye tuletea Uhuru nchini toka kwa wakoloni, Bali kuna wazee wa kiisalmu wa hapo Dar kama Sykes familly n.k ndio wamehangaika zaidi kuleta uhuru.
Mkuu ni kweli wamechangia kiasi kikubwa kupatika uhuru hapa lakini, ukweliutabaki pale palekua ni J.K.Nyerere the Almighty ndio kaleta uhuru Tanganyika na sio hao wengine bila kuzingatia kigezo cha udini. kwanini nasema hivi?
Kila mtu akizaliwa hapa duniani huja na kusudi (Purpose) aliloletwa kulitimiza, kwa mantiki hiyo Mwalimu aliletwa kwa kusudi la kuikomboa Tanganyika kutoka kwenye mikono ya wakoloni,Mwalimu nyerere kazaliwa 1922 lakini mwaka 1945 akiwa ana miaka 23 tu aliweza kuhudhuria mkutano wa 5 wa Pan African Congress jijini Manchester hivyo basi waweza kuona ni jinsi gani alivyikua ashajua kusudinla yeye kuja dunianina kuanza kulifanyia kazi. mkuu hatima ya uhuruwa Tanzania ilikua mikononi mwa mwalimu, na kama inavyojulikana "You can escape your destiny, nobody can take away your destiny"
Mfano kidogo ili kuenea kwa imani ya kiislamu duniani allah ilibidi amletee Mtume maswahaba ambao walimsaidia pakubwa kusambaza uislam kwenye maeneo ya makafiri, vilievile ili YESU kueneza wokovu duniani ilibidi awe na wanafunzi na mitume wa kusambaza Habari za wokuvu ulimwengu mzima, kupitia wanafunzi wake Yesu aliweza kutimiza kusudi lake la kueneza wokuvu, Mwisho wa siku tunasema Yesu katuleta wokuvu mpaka kwetu huku ndani ndani ( ila hatusemi mitume wanatakiwa ndio wtambulike kama walioleta wokovu duniani bali Yesu) Mkuu hata wewe hadi kufika hapo ulipo kuna watu walisimama nawe hadi kua wewe uliyoko sasa hivi, ila hatusemi kwamba wale wiloku-push kipindi cha nyuma ndio wanaotakiwa kufahamika kama wanaoandika makala humu jF bali mzee Mohamed Said.
Kwa mantiki hiyo namaanisha kwamba ili kutimiza kusudi fulani ulilopewa na Mungu basi Mungu hukuandalia watu ambao watafanya kazi bega kwa bega ili kutimiza kusudi lako (mfano mzuri ni wazazi/walezi). hivi mkuu unatambua kua kuna watu hua wamezaliwa kusudi lao la kuzaliwa likiwa ni kuja kumsaidia mtu fulani aje kutimiza kusudi lake alopewa na Mungu,mfano mzuri ni Yohana mbatizaji. kusudi lake hata kwenye vitabu vinasema alikuja kuandaa njia/kusudi la Masihi Kristo....Hivyo hivyo kwa Mwalimu wetu Kuna watu wengi sana waliletwa hapa Tanganyika kuja kutimiza kusudi hilo. Ili kutimiza kusudi lake la kuiletea nchi yetu uhuru ilibidi watu wengi washirikiane nae. hatimaye aliweza kufanikiwa kuleta uhuru, hivyo basi hakuna suala la udini wala nini The Godman Nyerere atabakia kutambuliwa kama shujaa aliyeleta uhuru Tanganyika haijalishi ni wangapi walishirikiana nae.
Niombe radhi kwa yoyote ambae andiko langu limemuudhi kwa namna moja au nyingine.
Ciao
- Da'Vinci
Heshima yako mzee Mohamed Said natumai u mzima wa afya.
Mzee hongera kwa uwezo wa uandishi wako wa makala za historia ya taifa letu hili.
Mimi nimekua nikifuatilia sana mada zako hasa kipindi cha nyuma lakini siku hizi si msomaji tena wa baadhi ya mada zako kutokana na sababu nitakazo zieleza hapa chini.
Katika mada zako nyingi za historia ya taifa hili hua nikiangaliama Context naona mada zako zote zinalia kwa uchungu huku zikitoa ujumbe kua Waislamu tunaonewa, nikimaanisha kwamba mada zako karibu zote hua zina chembe chembe za Udini. Baadhi ya member hasa mkuu Pascal Mayalla wamejaribu kuchambua mada zako na kuonyesha ni jinsi gani zilivyojaa mahaba ya dini, na upotoshaji wa historia pia hata wasomaji wako ambao mko imani moja wanadiriki kuupinga hata ukweli ili tu kumtetea mwarabu na dini yake. Mfano kwenye mada aliyoanzisha mkuu Pasco akionesha jinsi Waarabu walivyowatesa wazawa wa Zanzibar, watu wengi (Muslims) waliukataa ukweli huona na kukubali kumtetea Mwarabuu kisa tu ndio alieleta dini hiyo.
Mzee wangu, wewe ni mwandishi na unazifahamu vyema ethics za mwandishi, moja ya sifa kuu za mwandishi ni kutokuandika habari fulani kwa kuweka mbele emotions na mahaba yake juu ya kitu anachotaka kutoa taarifa, mwandishi unatakiwa uandike/utoe habari ya kitu hicho ukiwa kwenye free state, yaani uandike kitu kama kilivyo bila kuweka mahaba yako juu kitu hiko. Kwa hilo mzee wangu naona umefeli kulitekeleza labda lengo lako kuu hua ni kuonyesha jinsi gani ndugu zetu mnavyo kandamizwa.
Nikupe mfano kidogo, humu JF kuna mwandishi wa makala mbalimbali anaitwa The Bold (habibu B Anga) ni mwislamu pure! Lakini kamwe akiandika kitu ambacho hua kinagusa imani yake hua anaandika kama kilivyo bila kuweka upendeleo. Ref uzi wa: Adhabu ya kuchinjwa mbele ya kadamanasi Saudia.
Lakini mzee hata mimi mwenyewe ni Mkatoliki lakini kama nikichangia mada au kundika mada juu ya mauaji yaliyofanywa na Kanisa hili siwezi kubisha au kuandika tofauti na ilivyokua kisa ni kanisa langu, siwezikubisha wala kuandika kwa upendeleo kua kanisa katoliki kipindi cha Holocust liliagiza (Papa) wananchi wote wa nchi ya Uholanzi
(Netherlands) wauawe.
NB: Yote hayo najaaribu kukuonyesha ni jinsi gani kuna udini kwenye mada zako, lakini lengo langu sijaandika uzi huu ili tujadili udini wala dini yako ila lengo langu hasa kuandika huu uzi ni
Mkuu, kama nilivyokwisha kukuonyesha jinsi mada zako zilivyo na udini, sasangoja niende kwenye lengo la uzi huu..Mada zako nyingi nilizowahi kusoma kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika, ukiangalia nyuma ya pazia ujumbe ulio jificha unaonyesha kua Mwl. Nyerere hakutakiwa kuwa recognise kama mtu aliye tuletea Uhuru nchini toka kwa wakoloni, Bali kuna wazee wa kiisalmu wa hapo Dar kama Sykes familly n.k ndio wamehangaika zaidi kuleta uhuru.
Mkuu ni kweli wamechangia kiasi kikubwa kupatika uhuru hapa lakini, ukweliutabaki pale palekua ni J.K.Nyerere the Almighty ndio kaleta uhuru Tanganyika na sio hao wengine bila kuzingatia kigezo cha udini. kwanini nasema hivi?
Kila mtu akizaliwa hapa duniani huja na kusudi (Purpose) aliloletwa kulitimiza, kwa mantiki hiyo Mwalimu aliletwa kwa kusudi la kuikomboa Tanganyika kutoka kwenye mikono ya wakoloni,Mwalimu nyerere kazaliwa 1922 lakini mwaka 1945 akiwa ana miaka 23 tu aliweza kuhudhuria mkutano wa 5 wa Pan African Congress jijini Manchester hivyo basi waweza kuona ni jinsi gani alivyikua ashajua kusudinla yeye kuja dunianina kuanza kulifanyia kazi. mkuu hatima ya uhuruwa Tanzania ilikua mikononi mwa mwalimu, na kama inavyojulikana "You can escape your destiny, nobody can take away your destiny"
Mfano kidogo ili kuenea kwa imani ya kiislamu duniani allah ilibidi amletee Mtume maswahaba ambao walimsaidia pakubwa kusambaza uislam kwenye maeneo ya makafiri, vilievile ili YESU kueneza wokovu duniani ilibidi awe na wanafunzi na mitume wa kusambaza Habari za wokuvu ulimwengu mzima, kupitia wanafunzi wake Yesu aliweza kutimiza kusudi lake la kueneza wokuvu, Mwisho wa siku tunasema Yesu katuleta wokuvu mpaka kwetu huku ndani ndani ( ila hatusemi mitume wanatakiwa ndio wtambulike kama walioleta wokovu duniani bali Yesu) Mkuu hata wewe hadi kufika hapo ulipo kuna watu walisimama nawe hadi kua wewe uliyoko sasa hivi, ila hatusemi kwamba wale wiloku-push kipindi cha nyuma ndio wanaotakiwa kufahamika kama wanaoandika makala humu jF bali mzee Mohamed Said.
Kwa mantiki hiyo namaanisha kwamba ili kutimiza kusudi fulani ulilopewa na Mungu basi Mungu hukuandalia watu ambao watafanya kazi bega kwa bega ili kutimiza kusudi lako (mfano mzuri ni wazazi/walezi). hivi mkuu unatambua kua kuna watu hua wamezaliwa kusudi lao la kuzaliwa likiwa ni kuja kumsaidia mtu fulani aje kutimiza kusudi lake alopewa na Mungu,mfano mzuri ni Yohana mbatizaji. kusudi lake hata kwenye vitabu vinasema alikuja kuandaa njia/kusudi la Masihi Kristo....Hivyo hivyo kwa Mwalimu wetu Kuna watu wengi sana waliletwa hapa Tanganyika kuja kutimiza kusudi hilo. Ili kutimiza kusudi lake la kuiletea nchi yetu uhuru ilibidi watu wengi washirikiane nae. hatimaye aliweza kufanikiwa kuleta uhuru, hivyo basi hakuna suala la udini wala nini The Godman Nyerere atabakia kutambuliwa kama shujaa aliyeleta uhuru Tanganyika haijalishi ni wangapi walishirikiana nae.
Niombe radhi kwa yoyote ambae andiko langu limemuudhi kwa namna moja au nyingine.
Ciao
- Da'Vinci