Mzee Mbatia naye kwa kudandia gari kwa mbele, shauri yake

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,132
7,711
Mara baada ya kauli ya Spika aliyejiuzulu ,mzee Mbatia alijitokeza na akaanza kushabikia na kumpongeza Spika na kutaka watanzania wajadili tamko la spika.

Namshauri mzee Mbatia aache tabia ya kudandia hoja bila kutafakari, apunguze mihemuko.

Siasa haziitaji jazba na mihemuko, aonyeshe ukomavu sio kukurupuka. Ajaribu kujifunza kutoka kwa wakongwe wa siasa,
asipende kudandia gari kwa mbele.
 
Mara baada ya kauli ya Spika aliye jiuzulu mzee Mbatia alijitokeza na akaanza kushabikia na kumpongeza Spika na kutaka watanzania wajadili tamko la spika.......

Namshauri mzee Mbatia aache tabia ya kudandia hoja bila kutafakari, apunguze mihemuko.

siasa haziitaji jazba na mihemuko, aonyeshe ukomavu sio kukurupuka.
ajaribu kujifunza kutoka kwa wakongwe wa siasa,
asipende kudandia gari kwa mbele.....

Mwendo wenu ule ule?

IMG_20211223_225230_042.jpg


.... Mbowe kapita, Polepole kapita, Ayubu kapita ... 🎼🎼
 
Unless na wewe ni mnufaika direct...., Hakuna Mtu mwenye kufikiria mbali atakayefurahia watu kuzibwa midogo au kuwashauri wasiongee mawazo yao....

Wote wakikaa kimya ni nani wa kuwasemea wengine? Au kilichobaki ni Zidumu Fikra za Mwenyekiti?
 
Mara baada ya kauli ya Spika aliye jiuzulu mzee Mbatia alijitokeza na akaanza kushabikia na kumpongeza Spika na kutaka watanzania wajadili tamko la spika.......

Namshauri mzee Mbatia aache tabia ya kudandia hoja bila kutafakari, apunguze mihemuko.

siasa haziitaji jazba na mihemuko, aonyeshe ukomavu sio kukurupuka.
ajaribu kujifunza kutoka kwa wakongwe wa siasa,
asipende kudandia gari kwa mbele.....
Haka ni ka kuzimwa, ipo siku yake maji kataita mma
 
Unless na wewe ni mnufaika direct...., Hakuna Mtu mwenye kufikiria mbali atakayefurahia watu kuzibwa midogo au kuwashauri wasiongee mawazo yao....

Wote wakikaa kimya ni nani wa kuwasemea wengine ? Au kilichobaki ni Zidumu Fikra za Mwenyekiti ?
Miak 6 iliyopita ulikua unaongea wewe? Au inafiki tuu.

Mwendazake ndio alileta hii staili na tunamuenzi kwa vitendo.
 
Kwa mujibu wa KATIBA kila raia ana haki ya kutoa mawazo yake.TUVUMILIANE
Nimesema tabia yake ya kudandia gari kwa mbele. Uhuru wa kutoa maoni anao ila inapaswa autumie uhuru huo vizuri, asipende kudandia hoja ambazo hajui msingi wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom