Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 15,625
- 22,546
Usingetukana katika kubadilshana mawazo.Stupid minds!! Ugaidi wa Mbowe ulianza lini? Unafahamu gaidi anafananaje?
anatakiwa apate mshauri mzuri anazeeka vibaya.Amesikia
Stressanatakiwa apate mshauri mzuri anazeeka vibaya.
Kama unajua hukumu bado,kwa nini umuite au hata kumhisia kuwa ni gaidi? Hizo akili zako ziko sawa?Usingetukana katika kubadilshana mawazo.
Eti ugaidi unafananaje!
Embu tueleze sasa wewe unayeujua ugaidi jinsi unavyofanana, enhee unafananaje?
Mimi ninadhani dawa yake ni kusikiliza mahakama mwanzo mwisho tuone hii saga itaishaishaje.
Maana kwa jinsi mahakama inavyoendeshwa hii, kwa kila kitu kuwekwa wazi bandika bandua, hata itakapotolewa hukumu tutaona imetoa haki ama imeegemea upande gani kwa upendeleo.
Hapo sasa tutakuwa na mandate ya kukosoa tupendavyo, hata kutukana tutatukana kama mahakama hawatatenda haki.
Tusubiri mwisho, tusigombane sisi kwa sisi, maana baadaye tusije tukabeba aibu zao kwa kujikumbata mikono usoni kwa kuficha soni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nadhani umekosea pa kulenga comment yako.Kama unajua hukumu bado,kwa nini umuite au hata kumhisia kuwa ni gaidi? Hizo akili zako ziko sawa?
Mzee Mbatia yeye hilo halijui na wala hataki kabisa kuheshimu mahakama, kila kukicha yeye anapwayuka tu na kuishinikiza eti mahakama imuachie huru mboe!!Mkuu nadhani umekosea pa kulenga comment yako.
Hakuna popote nilipohisi wala kusema kuwa Mbowe ni gaidi.
Nilichomaanisha mimi ni kuwa, sisi wadau tusianze kutuhumu kwa kudhania kuwa ni gaidi ama siyo gaidi, wakati kesi iko mahakamani inasikilizwa ili kuupata ukweli.
Kwa kuwa kesi hiyo inaendeshwa kwa uwazi, tuifuatilie hatua kwa hatua kwa umakini hadi mwisho ndiyo tuje na maoni yetu yatakayotokana na hukumu itakavyotolewa.
Kusema moja kwa moja ni gaidi ama si gaidi wakati kesi ipo mahamani na hukumu haihatolewa, ni mihemuko wa kishabiki!
Sent using Jamii Forums mobile app
Híyo ndiyo democrasia yenyewe, wewe kama ni mwoga jifiche uvunguni mwa kitanda chakoNimekuwa nikisikiliza "clips" mbalimbali za Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mzee Mbatia hakika mtakubaliana nami kuwa mazungumzo yake yamejaa chuki kali dhidi ya Serikali ya awamu ya 6.
Msingi wa chuki zake zinatokana na swahiba wake Mbowe kufikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashitaka ya Ugaidi.
Mzee Mbatia tangu siku ya kwanza Mbowe alipo fikishwa mahakamani hakuonyesha kuheshimu utawala wa sheria na alidiriki kutoa matamko kuwa Mbowe aachiwe huru.
Huyu ndio Mbatia asiye jali wala kuheshimu utawala wa sheria kisa eti swahiba wake kafikishwa mahakamni.
Ni vyema mbatia akajifunza kuheshimu Utawala wa Sheria, namshauri akae kimya kuhusu suala la Mbowe, aache vyombo vyenye mamlaka ya kikatiba vitimize majukumu yake.
Namshauri Mbatia aache kueneza chuki dhidi ya Serikali ya awamu hii 6, atumie demokrasia vizuri.
Namshauri Mbatia aache tabia ya kudharau mamlaka.
Mwisho namshauri Mbatia kama amechoka kufanya siasa ni bora akajiuzulu kuliko kueneza chuki na kudharau mamlaka.
He is old sasaLini mbatia kawa mzee? Sasa kama mbatia ni mzee, wasira awe nani? Hii tabia ya kuita watu wazee wakati hawajaufikia huo uzee si nzuri
Demokrasia sio kutumia kinywa chako vibaya kwa kusambaza chuki, demokrasia sio kupwayuka, demokrasi ni kuheshimu na kutii mamlaka zote zilizopo kwa mujibu wa sheria hatahivyo unaweza kukosoa bila kujenga chuki au kudharau.Híyo ndiyo democrasia yenyewe, wewe kama ni mwoga jifiche uvunguni mwa kitanda chako
Ha haNimekuwa nikisikiliza "clips" mbalimbali za Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mzee Mbatia hakika mtakubaliana nami kuwa mazungumzo yake yamejaa chuki kali dhidi ya Serikali ya awamu ya 6.
Msingi wa chuki zake zinatokana na swahiba wake Mbowe kufikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashitaka ya Ugaidi.
Mzee Mbatia tangu siku ya kwanza Mbowe alipo fikishwa mahakamani hakuonyesha kuheshimu utawala wa sheria na alidiriki kutoa matamko kuwa Mbowe aachiwe huru.
Huyu ndio Mbatia asiye jali wala kuheshimu utawala wa sheria kisa eti swahiba wake kafikishwa mahakamni.
Ni vyema mbatia akajifunza kuheshimu Utawala wa Sheria, namshauri akae kimya kuhusu suala la Mbowe, aache vyombo vyenye mamlaka ya kikatiba vitimize majukumu yake.
Namshauri Mbatia aache kueneza chuki dhidi ya Serikali ya awamu hii 6, atumie demokrasia vizuri.
Namshauri Mbatia aache tabia ya kudharau mamlaka.
Mwisho namshauri Mbatia kama amechoka kufanya siasa ni bora akajiuzulu kuliko kueneza chuki na kudharau mamlaka.
Ajiuzulu? We upo serious kweli au ushakula ugali wa huku hapo lumumba sasa unajamba ushuzi?Nimekuwa nikisikiliza "clips" mbalimbali za Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mzee Mbatia hakika mtakubaliana nami kuwa mazungumzo yake yamejaa chuki kali dhidi ya Serikali ya awamu ya 6.
Msingi wa chuki zake zinatokana na swahiba wake Mbowe kufikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashitaka ya Ugaidi.
Mzee Mbatia tangu siku ya kwanza Mbowe alipo fikishwa mahakamani hakuonyesha kuheshimu utawala wa sheria na alidiriki kutoa matamko kuwa Mbowe aachiwe huru.
Huyu ndio Mbatia asiye jali wala kuheshimu utawala wa sheria kisa eti swahiba wake kafikishwa mahakamni.
Ni vyema mbatia akajifunza kuheshimu Utawala wa Sheria, namshauri akae kimya kuhusu suala la Mbowe, aache vyombo vyenye mamlaka ya kikatiba vitimize majukumu yake.
Namshauri Mbatia aache kueneza chuki dhidi ya Serikali ya awamu hii 6, atumie demokrasia vizuri.
Namshauri Mbatia aache tabia ya kudharau mamlaka.
Mwisho namshauri Mbatia kama amechoka kufanya siasa ni bora akajiuzulu kuliko kueneza chuki na kudharau mamlaka.
Kutetea ukatili wa CCM ndo mnaita uzalendo? Mtu akiikosoa CCM ndo ameikosoa nchi?mimi ni mzalendo wa kweli kwa nchi yangu, nitaitetea na kuilinda nchi yangu kwa kutumia akili zangu na maarifa yangu bila kutegemea ujira.
watanzania wazalendo wa kweli wanaelewa ninacho kisema.
Tanzania kwanza vyama badae.