johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Mkuu wa mkoa mstaafu wa Dar es salaam na Katibu mkuu mstaafu wa CCM mzee Makamba amesema zamani tulikuwa tunasema mzigo mzito mpe Mnyamwezi.
Makamba amesema alimtumia ujumbe Rais Samia kupitia wasaidizi wake akimwambia mzigo mzito Mkwere aliubeba sasa kama Mkwere aliubeba na kuuweza Utamshindaje Mzanzibar?!!!
Mzee Makamba amemtaka Rais Samia achape kazi.
Source: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Makamba amesema alimtumia ujumbe Rais Samia kupitia wasaidizi wake akimwambia mzigo mzito Mkwere aliubeba sasa kama Mkwere aliubeba na kuuweza Utamshindaje Mzanzibar?!!!
Mzee Makamba amemtaka Rais Samia achape kazi.
Source: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!