Mzee Makamba alimpigia debe Manji kuwa mbunge


Mkira
More dataz please, Kigamboni bado kunauzika? Maana nilisikia serikali imesimamisha utoaji hati za umiliki kupisha wawekezaji. Wakigamboni wanatakiwa kulipwa fidia kupisha wenyenchi
 
Nyumba ya Makamba ya serikali alinunuliwa na Manji. That is why

Naam na huyu Mzee haishi kujipitishapitisha ofisini kwa Manji ili akakirimiwe na hata pesa ya kuwasomesha watoto wake January na Mwamvita Marekani inasemekana alipewa na Manji halafu akiitwa fisadi anakuwa mbogo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…