Juzi juzi hapa nimetembelea kigamboni!!!!
Nikaonyeshwa eneo Kubwa saaaaaaaana zaidi ya heka 100! kuwa manjia amenuanua hilo eneo. Loye hilo liko baada ya mji mwema. Eneo hilo ni beach ninadhani yeye kanunia kwa hela kiduchuu!!!!!!!!!! Lakini atakamua hela hapo siku za baadaye!!!!!