Mzee Makamba alimpigia debe Manji kuwa mbunge

Jibaba Bonge

JF-Expert Member
May 6, 2008
1,246
401
Wana JF; hili mnalionaje - Mzee Makamba alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salam, Manji alitoa shs 200 milion (I stand to be corrected) kuchangia ujenzi wa barabara kigamboni. Mhe. Makamba aliwaambia wanakigamboni - wanataka nini zaidi, kama Manji angechukua fomu za kugombea ubunge ndiye anayefaa kuwa mbunge kwa kujitolea fedha zake kwa maendeleo ya wananchi pamoja na kwamba haishi Kigamboni.
 
Wana JF; hili mnalionaje - Mzee Makamba alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salam, Manji alitoa shs 200 milion (I stand to be corrected) kuchangia ujenzi wa barabara kigamboni. Mhe. Makamba aliwaambia wanakigamboni - wanataka nini zaidi, kama Manji angechukua fomu za kugombea ubunge ndiye anayefaa kuwa mbunge kwa kujitolea fedha zake kwa maendeleo ya wananchi pamoja na kwamba haishi Kigamboni.

lini wapi na saa ngapi??????
 
lini wapi na saa ngapi??????


Ochu ni kweli Manji alitoa Mil 200 na Makamba alimnadi kwenye kura za maoni na Manji alishinda ila busara za CCM na Mkapa kama mweneykiti zilitumika kumuengua na kumpatia nafasi hiyo Mbunge wa sasa Mwichumu Msomi.

Huyu Makamba nadhani ni mtu hatari, provided mtu anapesa yeye yuko tayari kumuunga mkononi hata kama pesa zanyewe ni chafu kama hizo za Manji na Rajab Maranda zilizotumika kununua Tawi la Chadema Kigoma.
 
Pesa ya EPA[Rajab Maranda] ndiyo iliyotumika kumnunua Kaborou kutoka Chadema kuja CCM; pesa hiyo hiyo Makamba akaitumia kuhakikisha Kaborou anachaguliwa kuwa mbunge wa Afrika Mashariki. Mzee Makamba ukiwa na michuzi basi kwake imetoka.
 
Ni kweli Manji 2005 alitoa millioni 200 kujenga barabara ya Zakiem mpaka Mbagala kuu katika jimbo la kigamboni. na alishinda kwenye kura za maoni, halafu akaenguliwa. Makamba nauwezo mdogo sana wa kung'amua mambo sensitive...porojho nyingi na kusema bila kufikiri ndio kunako mfanya ajulikane. Japo si jambo la kupinga, yule mzee ni mchapa kazi sana lakini kizingiti ni uwezo wa kufikiri na kuwa sensitive.
 
Ni kweli Manji 2005 alitoa millioni 200 kujenga barabara ya Zakiem mpaka Mbagala kuu katika jimbo la kigamboni. na alishinda kwenye kura za maoni, halafu akaenguliwa. Makamba nauwezo mdogo sana wa kung'amua mambo sensitive...porojho nyingi na kusema bila kufikiri ndio kunako mfanya ajulikane. Japo si jambo la kupinga, yule mzee ni mchapa kazi sana lakini kizingiti ni uwezo wa kufikiri na kuwa sensitive.

Very interesting kuona kuwa baadhi ya wanaJF wanambeza jibaba kwa aliloibua. Ni haki, given kuwa tuna uhuru wa kupingana kwa hoja. Lakini ni common sense kuwa mtu aki-invest anategemea returns, na swali linakuja hizo returns zinarudi vipi. Manji lengo lake la mbali si kuwanufaisha wapiga kura, kama lengo lake lingekuwa ndio hilo angeweza kuishia hapo tu bila kugombea. Ni sawa leo Makamba aibuke na kusema RA amechangia matrilioni kadhaa kwenye uchumi wa Tanzania, kwa hiyo anafaa kuwa rais that will be a joke. Ni kweli mzee wetu ni mchapa kazi, lakini uwezo wake wa kufikiri na kufanya judgement una utata.
 
Luteni Makamba ni mzee anayetia kichefuchefu sana!


Luteni Makamba ammiminia mabusu mfadhili wa miradi
2005-07-21 14:57:21
Na Maabad Msuya, Temeke

Baada ya kushindwa kujizuia kuonyesha furaha yake, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Luteni Yusuph Makamba, amejikuta akimfagilia mfadhili wa miradi mbalimbali wilayani Temeke Bwana Yusuph Manji na kumtaka agombee ubunge wa jimbo la Kigamboni kwa tiketi ya CCM.

Kama vile haitoshi Mkuu huyo wa Mkoa kwa kuonyesha ni jinsi gani alivyovutiwa na kufurahishwa na ufadhili huo, aliamua kumpa mabusu Bw. Manji kama ishara ya shukrani na furaha.

Luteni Makamba ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo, baada ya kuvutiwa na mwamko wa wakazi wa eneo hilo, naye ameahidi kuchangia Sh. milioni 1.5, kati ya hizo, milioni moja ikitoka mfukoni mwake na laki tano kwenye mfuko wa ofisi yake.

'Kusema kweli umenifurahisha sana na ili kukuonyesha ni jinsi gani umenifurahisha nakuomba usogee tena hapa karibu yangu ili nikupe busu la furaha,' akasema Mkuu huyo wa Mkoa na kisha akaanza kumimina mabusu mfululizo.

Source: Alasiri


Kwamba mtu huyu ameweza kupenya kuingia kwenye nafasi kubwa za uongozi - that is not such a big deal. Inapokuja kwamba anaendelea kuwepo kwenye nafasi ya juu kwenye uongozi wa chama kwa muda mrefu kiasi hiki, ...nakosa majibu kwamba inawezekanaje hili kutokea!

CCM imeharibika beyond repair! Would you doubt that?




.
 
Makamba atishia kuwaburuza watu kortini
By Mike Williams | Published 08/14/2005 | Habari za Kitaifa | Unrated



Makamba atishia kuwaburuza watu kortini

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Luteni (mstaafu) Yusuf Makamba ametishia kuwaburuza mahakamani watu wanaodai alimpigia debe mshindi wa kura za maoni kwa tiketi ya CCM, Bw. Yusuf Manji, katika Jimbo la Kigamboni.

Aidha tayari ameliandikia barua gazeti moja lililoripoti habari hizo, na kuelezea nia yake ya kuliburuza mahakamani iwapo halitamuomba radhi katika kipindi cha siku saba.

Akihojiwa na Nipashe jijini jana, Bw. Makamba alisema madai hayo yamemdhalilisha machoni pa watu anaowaongoza na mbele ya chama chake (CCM).

Alisema yeye kama Makamba, hana kiwanda, wala kampuni yo yote, na kwamba jina lake ndilo raslimali kubwa anayoitegemea, hivyo hatua yo yote ya kudhalilisha jina lake, hataivumilia.

Akifafanua kilichotafsiriwa kwamba alimpigia debe Bw. Manji, mkuu huyo wa mkoa, alisema kilichomponza ni kauli yake kwamba watu wanaojihusisha na maendeleo, hususan kutoa misaada, ndio wanafaa kuwa viongozi.

"Na mimi sijutii kauli yangu hiyo, huwezi kuwa kiongozi, kama wewe mwenyewe haupo mstari wa mbele katika maendeleo,' alisema.

Vilevile alisema huenda hatua yake ya kukubali kuwa mgeni rasmi, katika hafla moja ya kuchangia maendeleo, ambayo pia ilihudhuriwa na Bw. Manji, huenda ndio imemponza.

Hata hivyo, alisema katika hafla hiyo, Bw. Manji alichangia mikokoteni 20 kwa ajili ya vijana na yeye (Makamba) akachangia 10.

Alisema katika hafla nyingine Bw. Manji alichangia Sh. milioni 1 kwa ajili ya visima, na yeye akachangia Sh. laki 5 na ofisi yake ikachangia Sh. milioni 1.

"Jamani, ungetegemea mimi kiongozi wa watu, nipuuze hafla ya kuchangia maendeleo? Kwa taarifa waliochanga ni wengi, nikiwemo mimi mwenyewe, japo sigombei.

Nasema hafla hiyo hata ingeandaliwa na Chadema au TLP, mimi ningekwenda, maana kuchangia maendeleo sio siasa,' alisema Luteni Makamba.

Pia alisema ataliburuza mahakamni gazeti moja litolewalo kila wiki, kwa kuandika kwamba'Manji ni mhindi wa Makamba'.

Luteni Makamba alikiri kwamba wana CCM wote waliojiingiza kwenye kinyang'anyiro cha ubunge walienda kumuona naye akawatakia kila la heri.

Alisema kwenye mkoa wake wameshinda watu wengi kwenye kura hizo, ambao pia walikwenda kwake kumuona'Sasa nashangaa kusikia kauli za mhindi wa Makamba, mbona waliokuja kuniona ni wengi na wameshinda, kwa nini hawasemi Mpogoro wa Makamba au Mjaluo wa Makamba? Kauli hizi ni mbovu sana,' alisema.

Bw. Makamba alisisitiza kwamba wakati wote wa kinyang'anyiro hicho, hakukanyaga kwenye mkutano wa mgombea ye yote na kwamba hata kwenye ofisi za CCM hakutia mguu.

Source:
Makamba atishia kuwaburuza watu kortini
 
Makamba atishia kuwaburuza watu kortini
By Mike Williams | Published 08/14/2005 | Habari za Kitaifa | Unrated



Makamba atishia kuwaburuza watu kortini

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Luteni (mstaafu) Yusuf Makamba ametishia kuwaburuza mahakamani watu wanaodai alimpigia debe mshindi wa kura za maoni kwa tiketi ya CCM, Bw. Yusuf Manji, katika Jimbo la Kigamboni.

Aidha tayari ameliandikia barua gazeti moja lililoripoti habari hizo, na kuelezea nia yake ya kuliburuza mahakamani iwapo halitamuomba radhi katika kipindi cha siku saba.

Akihojiwa na Nipashe jijini jana, Bw. Makamba alisema madai hayo yamemdhalilisha machoni pa watu anaowaongoza na mbele ya chama chake (CCM).

Alisema yeye kama Makamba, hana kiwanda, wala kampuni yo yote, na kwamba jina lake ndilo raslimali kubwa anayoitegemea, hivyo hatua yo yote ya kudhalilisha jina lake, hataivumilia.

Akifafanua kilichotafsiriwa kwamba alimpigia debe Bw. Manji, mkuu huyo wa mkoa, alisema kilichomponza ni kauli yake kwamba watu wanaojihusisha na maendeleo, hususan kutoa misaada, ndio wanafaa kuwa viongozi.

”Na mimi sijutii kauli yangu hiyo, huwezi kuwa kiongozi, kama wewe mwenyewe haupo mstari wa mbele katika maendeleo,’ alisema.

Vilevile alisema huenda hatua yake ya kukubali kuwa mgeni rasmi, katika hafla moja ya kuchangia maendeleo, ambayo pia ilihudhuriwa na Bw. Manji, huenda ndio imemponza.

Hata hivyo, alisema katika hafla hiyo, Bw. Manji alichangia mikokoteni 20 kwa ajili ya vijana na yeye (Makamba) akachangia 10.

Alisema katika hafla nyingine Bw. Manji alichangia Sh. milioni 1 kwa ajili ya visima, na yeye akachangia Sh. laki 5 na ofisi yake ikachangia Sh. milioni 1.

”Jamani, ungetegemea mimi kiongozi wa watu, nipuuze hafla ya kuchangia maendeleo? Kwa taarifa waliochanga ni wengi, nikiwemo mimi mwenyewe, japo sigombei.

Nasema hafla hiyo hata ingeandaliwa na Chadema au TLP, mimi ningekwenda, maana kuchangia maendeleo sio siasa,’ alisema Luteni Makamba.

Pia alisema ataliburuza mahakamni gazeti moja litolewalo kila wiki, kwa kuandika kwamba’Manji ni mhindi wa Makamba’.

Luteni Makamba alikiri kwamba wana CCM wote waliojiingiza kwenye kinyang’anyiro cha ubunge walienda kumuona naye akawatakia kila la heri.

Alisema kwenye mkoa wake wameshinda watu wengi kwenye kura hizo, ambao pia walikwenda kwake kumuona’Sasa nashangaa kusikia kauli za mhindi wa Makamba, mbona waliokuja kuniona ni wengi na wameshinda, kwa nini hawasemi Mpogoro wa Makamba au Mjaluo wa Makamba? Kauli hizi ni mbovu sana,’ alisema.

Bw. Makamba alisisitiza kwamba wakati wote wa kinyang’anyiro hicho, hakukanyaga kwenye mkutano wa mgombea ye yote na kwamba hata kwenye ofisi za CCM hakutia mguu.

Source:
Makamba atishia kuwaburuza watu kortini

Gazeti hili la mwaka gani?
 
Makamba atishia kuwaburuza watu kortini
By Mike Williams | Published 08/14/2005 | Habari za Kitaifa | Unrated



Makamba atishia kuwaburuza watu kortini

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Luteni (mstaafu) Yusuf Makamba ametishia kuwaburuza mahakamani watu wanaodai alimpigia debe mshindi wa kura za maoni kwa tiketi ya CCM, Bw. Yusuf Manji, katika Jimbo la Kigamboni.

Aidha tayari ameliandikia barua gazeti moja lililoripoti habari hizo, na kuelezea nia yake ya kuliburuza mahakamani iwapo halitamuomba radhi katika kipindi cha siku saba.

Akihojiwa na Nipashe jijini jana, Bw. Makamba alisema madai hayo yamemdhalilisha machoni pa watu anaowaongoza na mbele ya chama chake (CCM).

Alisema yeye kama Makamba, hana kiwanda, wala kampuni yo yote, na kwamba jina lake ndilo raslimali kubwa anayoitegemea, hivyo hatua yo yote ya kudhalilisha jina lake, hataivumilia.

Akifafanua kilichotafsiriwa kwamba alimpigia debe Bw. Manji, mkuu huyo wa mkoa, alisema kilichomponza ni kauli yake kwamba watu wanaojihusisha na maendeleo, hususan kutoa misaada, ndio wanafaa kuwa viongozi.

”Na mimi sijutii kauli yangu hiyo, huwezi kuwa kiongozi, kama wewe mwenyewe haupo mstari wa mbele katika maendeleo,’ alisema.

Vilevile alisema huenda hatua yake ya kukubali kuwa mgeni rasmi, katika hafla moja ya kuchangia maendeleo, ambayo pia ilihudhuriwa na Bw. Manji, huenda ndio imemponza.

Hata hivyo, alisema katika hafla hiyo, Bw. Manji alichangia mikokoteni 20 kwa ajili ya vijana na yeye (Makamba) akachangia 10.

Alisema katika hafla nyingine Bw. Manji alichangia Sh. milioni 1 kwa ajili ya visima, na yeye akachangia Sh. laki 5 na ofisi yake ikachangia Sh. milioni 1.

”Jamani, ungetegemea mimi kiongozi wa watu, nipuuze hafla ya kuchangia maendeleo? Kwa taarifa waliochanga ni wengi, nikiwemo mimi mwenyewe, japo sigombei.

Nasema hafla hiyo hata ingeandaliwa na Chadema au TLP, mimi ningekwenda, maana kuchangia maendeleo sio siasa,’ alisema Luteni Makamba.

Pia alisema ataliburuza mahakamni gazeti moja litolewalo kila wiki, kwa kuandika kwamba’Manji ni mhindi wa Makamba’.

Luteni Makamba alikiri kwamba wana CCM wote waliojiingiza kwenye kinyang’anyiro cha ubunge walienda kumuona naye akawatakia kila la heri.

Alisema kwenye mkoa wake wameshinda watu wengi kwenye kura hizo, ambao pia walikwenda kwake kumuona’Sasa nashangaa kusikia kauli za mhindi wa Makamba, mbona waliokuja kuniona ni wengi na wameshinda, kwa nini hawasemi Mpogoro wa Makamba au Mjaluo wa Makamba? Kauli hizi ni mbovu sana,’ alisema.

Bw. Makamba alisisitiza kwamba wakati wote wa kinyang’anyiro hicho, hakukanyaga kwenye mkutano wa mgombea ye yote na kwamba hata kwenye ofisi za CCM hakutia mguu.

Source:
Makamba atishia kuwaburuza watu kortini
 
Wana JF; hili mnalionaje - Mzee Makamba alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salam, Manji alitoa shs 200 milion (I stand to be corrected) kuchangia ujenzi wa barabara kigamboni. Mhe. Makamba aliwaambia wanakigamboni - wanataka nini zaidi, kama Manji angechukua fomu za kugombea ubunge ndiye anayefaa kuwa mbunge kwa kujitolea fedha zake kwa maendeleo ya wananchi pamoja na kwamba haishi Kigamboni.

Juzi juzi hapa nimetembelea kigamboni!!!!

Nikaonyeshwa eneo Kubwa saaaaaaaana zaidi ya heka 100! kuwa manjia amenuanua hilo eneo. Loye hilo liko baada ya mji mwema. Eneo hilo ni beach ninadhani yeye kanunia kwa hela kiduchuu!!!!!!!!!! Lakini atakamua hela hapo siku za baadaye!!!!!


Kwa hiyo hata milioni 200 hizo si kitu!!!

Tanzanaia ya leo ili kuepusha vita baadaye ni vizuri JK yuko katika nafasi nzuri ufanyike unyanganyi wa mali Zote ziligawiwa buree!! kwa the so called viongozi na matajiri wahindi hapa na waafrica hapa TZ!!

Asipofanya hivyo tutafanyua hivyo baadaye kwa gharama kubwa. Those of us who are concisious of our problem can not and will not torelate to see the richer get richer and richer while the pooerer becomes poorer and poorer!!
 
Hivi kweli hapa hatuchanganyi INAYAT Manji na YUSUPH Manji?

Kwanini unanini unahisi hivyo? maana katika thread hii sijaona hilo jina Inayat hapa anayeongelewa ni fisadi Yusuph Manji. Kama kuna ya huyo Inayat yawekwe hapa pia.
 
Juzi juzi hapa nimetembelea kigamboni!!!!

Nikaonyeshwa eneo Kubwa saaaaaaaana zaidi ya heka 100! kuwa manji amenuanua hilo eneo. Loye hilo liko baada ya mji mwema. Eneo hilo ni beach ninadhani yeye kanunia kwa hela kiduchuu!!!!!!!!!! Lakini atakamua hela hapo siku za baadaye!!!!!


/QUOTE]

Ukichunguza vizuri utakuta Makamba alisaidia mchoro huo
 
Na mlioko Kigamboni mkichunguza vizuri basi na Mzee huyu mpenda pesa atakuwa kanunuliwa kiwanja pembeni ya kiwanja cha Manji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom