Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Wana JF; hili mnalionaje - Mzee Makamba alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salam, Manji alitoa shs 200 milion (I stand to be corrected) kuchangia ujenzi wa barabara kigamboni. Mhe. Makamba aliwaambia wanakigamboni - wanataka nini zaidi, kama Manji angechukua fomu za kugombea ubunge ndiye anayefaa kuwa mbunge kwa kujitolea fedha zake kwa maendeleo ya wananchi pamoja na kwamba haishi Kigamboni.