Edwin Chapa
Member
- Jun 3, 2011
- 54
- 12
Ndugu zangu wana jamii nimefungua Page ya Millard Ayo ktk Facebook na ameandka habari juu ya kifo cha Gwiji la Tasnia ya Filamu
simjui lakini RIP
Habari hii ni uwongo, Milad kamuhoji mmoja wa wasanii kakanusha na mzee kiongea kuwa anasumbuliwa na mguuNdugu zangu wana jamii nimefungua Page ya Millard Ayo ktk Facebook na ameandka habari juu ya kifo cha Gwiji la Tasnia ya Filamu
Inna li Llahi wa Inna iLlahi Rajiun.
Mzee Kipara wa Kaole ni mzima, anaumwa mguu. Updated 8.40pm