amilyroley
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 621
- 1,199
Mzee anaongea na waandishi muda huu. Yupo live ITV
Toroka ujeeee!
Kama anataka kwenda ukawa si aende tu kuliko kupoteza muda kwa kurudia mambo ambayo yameshazungumzwa na kila mtu anafahamu kitu muhimu chama hakikutaka kusimamisha fisadi
kingunge hilo kupe la lowasa liondoke tu ....limechelewa kuondoka
Hiki kizee kilimuendesha sana na kumjaza hofu Mzee Mkapa alipotaka kumkata Jk kwenye mchuano wa Urais 2005 kikafanikiwa kwa ushirikiano na wana genge wenzie jina Lowassa na Rostam wakawapania na baadae kuwasamabaratisha wazalendo wawili Mzee Sozigwa na Butiku waloandaa file jeusi la Michezo yao michafu na ya hovyo, Safari hii wakajaribu tena bila ya kujua wanaetaka kumhadaa alikuwa mwenzao na anazijua mbivu na mbichi, Sasa kingunge yupo njia panda ama Achague Ccm au Lowassa muda unayoyoma kashindwa na anashindwa kufanya uamuzi. Siasa ni dynamic game Mzee alisahau kuwa Mbinu za 2005 zikizofanikiwa sio lazima zifanikiwe 2015
Matangazo yanarushwa live na ITV mzee anaongea na waandishi wa habari
========
Anasema kamati kuu haiwezi kusema watu watano au sita ni hawa bila kuwasikiliza, kilichotokea mwaka huu ni tofauti kabisa kilichotokea mwaka 1995, safari mwenyekiti ni Jakaya Kikwete, kilichotokea ni jambo kubwa katika historia yetu na mimi katika historia yangu pale ambapo naona kwamba katiba inavunjwa nimekuwa na tabia ya kusema waziwazi na kuwaambia wenzangu si sawa.
Mwaka 1972 nikiwa mkuu wa mkoa Simiyu, kulikuwa na Bunge Dar es Salaam, nikakuta kuna mswada wa kurekebisha katika kuhusiana na swala la wakuu wa mikoa.
Huko alikohamia Mgombea wake jee kanuni zilifuatwa? Alipitishwa kuwa Mgombea Urais wa Ukawa kabla hata hajajiunga na Chadema jee taratibu ndivyo zisemavyo? Hata Mkutano Mkuu wa Chadema ulipoutishwa Pale Mliman city Mbowe aliamuru wanaokubali Fisadi kuwa Mgombea wapuge kelele za ndio bila ya kujua huo mkutano pia ulisheheni wageni waalikwa kibao tu
Aondoke Sasa hivi hana Impact yoyote Mzee gani huyu anashabikia Mtu