kuna wenzetu wana mabilioni na wanaweza kwenda Hospital yoyote Duniani lakini wamefunga kauli hata maji hayapitiSawa ila mimi nina machozi sina hata mia
Kadhalika mzee Kikwete amemtambulisha mh Majizo ambaye ni mmiliki wa E FM radio na TV ambaye alikuwa MC.
Kikwete amempongeza Majizo kwa namna anavyoongoza Taasisi yake na Jinsi anavyochukua hatua kwa haraka zinapotokea Changamoto.
Huyu babu haishi vijembe na vibweka utafikiri mwimba taarabuKikwete amesema " usione vyaelea vimeundwa" na kwamba Maendeleo tunayoyaona na yatakayokuja ni Kazi ya Kiongozi wetu shupavu Dr Samia.
Rais mstaafu mzee Kikwete leo amesherehekea Sherehe za kufungua Mwaka 2022 na kuukaribisha 2023 akiwa na Wananchi wenzake wa Msoga.
Kikwete amesema ni kawaida yao tangu akiwa Rais kufanya Sherehe kama hizi ambapo Ng'ombe huchinjwa na wanakijiji kula pilau pamoja na kusherehekea.
Kadhalika mzee Kikwete amemtambulisha mh Majizo ambaye ni mmiliki wa E FM radio na TV ambaye alikuwa MC.
Kikwete amempongeza Majizo kwa namna anavyoongoza Taasisi yake na Jinsi anavyochukua hatua kwa haraka zinapotokea Changamoto.
Kikwete amesema " usione vyaelea vimeundwa" na kwamba Maendeleo tunayoyaona na yatakayokuja ni Kazi ya Kiongozi wetu shupavu Dr Samia.
Hivi wananchi tumemwambia Kikwete wapi na lini kwamba tunamaliza mwaka tukiwa na furaha? Hatuna umeme wa uhakika, hakuna maji,, ghalama ya maisha imepanda, rushwa ofisi za umma imerudi, Elimu mbovu kwa wanetu,wapinzani wa kutusemea mmewaziba midomo, madai ya watumishi hayalipwi. Mambo yamerudi kama enzi za utawala wake. Hiyo furaha tunaiata wapi?. Riz wake akimaliza mwaka kwa furaha basi kwake wananchi Wana furaha. Riz alivyobana awamu 5 wananchi hatukuwa na furaha.Rais mstaafu mzee Kikwete leo amesherehekea Sherehe za kufungua Mwaka 2022 na kuukaribisha 2023 akiwa na Wananchi wenzake wa Msoga.
Kikwete amesema ni kawaida yao tangu akiwa Rais kufanya Sherehe kama hizi ambapo Ng'ombe huchinjwa na wanakijiji kula pilau pamoja na kusherehekea.
Kadhalika mzee Kikwete amemtambulisha mh Majizo ambaye ni mmiliki wa E FM radio na TV ambaye alikuwa MC.
Kikwete amempongeza Majizo kwa namna anavyoongoza Taasisi yake na Jinsi anavyochukua hatua kwa haraka zinapotokea Changamoto.
Kikwete amesema " usione vyaelea vimeundwa" na kwamba Maendeleo tunayoyaona na yatakayokuja ni Kazi ya Kiongozi wetu shupavu Dr Samia.
Source: E TV
Huyu kenge anaogopa sana wabongo wakijua ukweli,kama maendeleo yapo,jibuni kwa hoja,sio vitisho na propaganda kibao,kwenye Siasa Kuna kitu kinaitwa,MEPS,"manufactured events for politicals purpose"Rais mstaafu mzee Kikwete leo amesherehekea Sherehe za kufungua Mwaka 2022 na kuukaribisha 2023 akiwa na Wananchi wenzake wa Msoga.
Kikwete amesema ni kawaida yao tangu akiwa Rais kufanya Sherehe kama hizi ambapo Ng'ombe huchinjwa na wanakijiji kula pilau pamoja na kusherehekea.
Kadhalika mzee Kikwete amemtambulisha mh Majizo ambaye ni mmiliki wa E FM radio na TV ambaye alikuwa MC.
Kikwete amempongeza Majizo kwa namna anavyoongoza Taasisi yake na Jinsi anavyochukua hatua kwa haraka zinapotokea Changamoto.
Kikwete amesema " usione vyaelea vimeundwa" na kwamba Maendeleo tunayoyaona na yatakayokuja ni Kazi ya Kiongozi wetu shupavu Dr Samia.
Source: E TV
Tatizo hajui kuzungumza!Majizo, ni Ruge mwingine?
Naona hatua zake
Yy mwenyewe ilimshinda. Anamsaidiaje Maza hapo!?Hongera Mzee,msaidie Mama apate katiba Mpya ilivyokuwa umeanza mchakato wake!
Nakutakia MAISHA marefu!
Unaweza kuta ni mpango wake. Maana yule mzee ni wa mjini kweli kweli .Kumbe ndo maana fasta likatolewa boko msata chalinze
Mkuu inawezekana Majizo hiyo E-fm na E-tv ni za familia ya Msoga Majizo kawekwa tu hapo.Tuusubiri wakati ndio utakaotoa majibu sahihi.Majizo, ni Ruge mwingine?
Naona hatua zake
Hii ndio furaha yenu sisi tinalamba ashali.Hivi wananchi tumemwambia Kikwete wapi na lini kwamba tunamaliza mwaka tukiwa na furaha? Hatuna umeme wa uhakika, hakuna maji,, ghalama ya maisha imepanda, rushwa ofisi za umma imerudi, Elimu mbovu kwa wanetu,wapinzani wa kutusemea mmewaziba midomo, madai ya watumishi hayalipwi. Mambo yamerudi kama enzi za utawala wake. Hiyo furaha tunaiata wapi?. Riz wake akimaliza mwaka kwa furaha basi kwake wananchi Wana furaha. Riz alivyobana awamu 5 wananchi hatukuwa na furaha.
hahahahaha,sidhaniMkuu inawezekana Majizo hiyo E-fm na E-tv ni za familia ya Msoga Majizo kawekwa tu hapo.Tuusubiri wakati ndio utakaotoa majibu sahihi.
Hahaha.......!