data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,151
- 22,726
Kenya is an Elite state..
Tanzania has been made an Ignorant state, an illiterate and a shamming state for years by the rulling CCM.
JK alienda kuangalia uchaguzi wa Kenya. Akaulizwa swali la kimtego sana akaingia kichwakichwa.. aliuzwa.. Je! Maoni yako ni yepi Kenyata kuandamana na kumsapoti Raila ktk kampeni!??
Akalijibu kiCCM akifikiri Kenya kuna majinga... Akasema... Huku akicheka teh tehh...ni sawa tu hata Tanzania tunafanya hivyo.." aisee alichemka sana.
DIAMOND ... Namsifu! Kaenda kupiga hela ndefu kaondoka.
Kikwete na Diamond hawa watu ni very infuential East Africa. Raila na kundi lake walifikiri Wakenya watapumbazwa na maarufu yao.
Wakawakomesha. Mwisho wa siku Ruto akaungwa mkono kutoa adabu. Ccm msifikiri kwamba ujinga mliotujaza wa tanzania mnaweza mkautapanya hovyohovyo kila mahali.
JK next time be careful when you get asked of your opinion on other countries' political affairs.
Diamond endelea kupiga hela ukiitwa tena.
KENYA NI NCHI ILIYOELIMIKA.
Tanzania has been made an Ignorant state, an illiterate and a shamming state for years by the rulling CCM.
JK alienda kuangalia uchaguzi wa Kenya. Akaulizwa swali la kimtego sana akaingia kichwakichwa.. aliuzwa.. Je! Maoni yako ni yepi Kenyata kuandamana na kumsapoti Raila ktk kampeni!??
Akalijibu kiCCM akifikiri Kenya kuna majinga... Akasema... Huku akicheka teh tehh...ni sawa tu hata Tanzania tunafanya hivyo.." aisee alichemka sana.
DIAMOND ... Namsifu! Kaenda kupiga hela ndefu kaondoka.
Kikwete na Diamond hawa watu ni very infuential East Africa. Raila na kundi lake walifikiri Wakenya watapumbazwa na maarufu yao.
Wakawakomesha. Mwisho wa siku Ruto akaungwa mkono kutoa adabu. Ccm msifikiri kwamba ujinga mliotujaza wa tanzania mnaweza mkautapanya hovyohovyo kila mahali.
JK next time be careful when you get asked of your opinion on other countries' political affairs.
Diamond endelea kupiga hela ukiitwa tena.
KENYA NI NCHI ILIYOELIMIKA.