maatope
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 1,422
- 958
Finally cheo cha urais kitampata mtu sahihi na ninadeclare kwamba niko kwenye Team mzee Jangala katika harakati hizi. Najua wengi wataleta dharau zao lakini hao wanaojiita wasomi wameifanyia nini nchi zaidi ya kuibaka kwa miaka zaidi ya 50?
Nanukuu alichosema rais mtarajiwa mzee Jangala,
Pia, aliwataka wananchi kuachana na fikra kuwa mwaka huu nchi hii kiongozi anatakiwa kuwa kijana. Hata wazee wana uwezo, kinachohitajika ni sifa na hekima.
"Urais hauna kijana wala mzee kinachohitajika ni, je, una sifa na uzalendo kutoka moyoni? Sitaki ubunge, nia yangu ni kuwasaidia Watanzania endapo nikapata ridhaa ya kuongoza nchi kupitia nafasi ya urais," alisema Mzee Jangala ambaye ni mshindi wa Tuzo ya Mafanikio ya Muda Mrefu Katika Fani.
Soon utajua atagombea kupitia chama gani.
Adios.
Nanukuu alichosema rais mtarajiwa mzee Jangala,
Pia, aliwataka wananchi kuachana na fikra kuwa mwaka huu nchi hii kiongozi anatakiwa kuwa kijana. Hata wazee wana uwezo, kinachohitajika ni sifa na hekima.
"Urais hauna kijana wala mzee kinachohitajika ni, je, una sifa na uzalendo kutoka moyoni? Sitaki ubunge, nia yangu ni kuwasaidia Watanzania endapo nikapata ridhaa ya kuongoza nchi kupitia nafasi ya urais," alisema Mzee Jangala ambaye ni mshindi wa Tuzo ya Mafanikio ya Muda Mrefu Katika Fani.
Soon utajua atagombea kupitia chama gani.
Adios.