Two wrongs do not make a rightSa
sasa hizo quote ni kwa ajiri ya nani.....ebu ajiulize kwanza yeye mwenyewe alivyokua madarakani alikuwaje......anakumbuka ule mgomo wa madaktari pale muhimbili alafu yeye akapaa akaenda Marekani..watu walianza kufa kwenye mawodi kwa kukosa matibabu...MI NAISHIA HAPO TU.
Kusema Nyerere alikuwa Msikivu ni uongo
Rejeeni hotuba zake za kugeuka Jiwe na kukataa kuachana na Azimio la Arusha
Jina la ‘Haambiliki ‘ chanzo ni ubishi wake sio usikivu
JPM anafuata Nyayo za Kambarage na sie wa Hovyo hovyo tupo nae bega kwa bega
Mara paa,Kikwete mgombea wa uRais kwenye uchaguzi Mkuu wa 2025!
Nawaza nakuwazua lakini ndoto zinaniamisha kuwa inawezekana kabisa Jakaya akawa mgombea wa CCM 2025 endapo tu Magufuli akiweza kumpigia chapuo kwenye mkutano wa Halmashauli kuu ya CCM ili aweze kupitishwa na hatimaye kuwa mgombea.
Kama iliwezekana Russia kwa ndugu Putin je itashindikana kweli hapa Tz!?
Japokuwa swali la kujiuliza je ITAKUWAJE ENDAPO JAKAYA M KIKWETE AKIPITISHWA NA KUWA MGOMBEA 2025!?
...........makandeAcha kula muda mfupi kabla ya kulala.
Aaah aongezewe nin???Sisi Wananchi tunamkubali Magufuli Aongezewe tu
Hizi kauli za Jakaya na ile ya Msekwa kama ni kweli kuhusu Katiba na ukomo wa muhula wa urais, basi kuna kitu kinakuja.
Unamaanisha kuna mtu ameambiwa tano zinamtosha? |
Aaah aongezewe nin???
Tupo gizani bado. Nahisi wastaafu wengi hawafurahii ujimwambafication unaoendelea.
Unamaanisha kuna mtu ameambiwa tano zinamtosha?
Katiba ni kijitabu tu chenye maneno ambayo hata kwenye khanga yapo JPM kwa alivyo anaweza kufanya lolote na akaweza na hayupo wa kufanya fyoko!Kuna nyuzi nyingine uwa sijui mnazianzisha mkiwa mnawaza nini
Katiba inaruhusu?
Mara mia ungesema akamuachia Shein ah Karume, lakin katiba kumuachia Kikwete hairuhusu,
Labda ungesema atengue katiba alafu awe na uhuru wa kufanya anavyotaka
Britannica
Tupo gizani bado. Nahisi wastaafu wengi hawafurahii ujimwambafication unaoendelea.
Jiwe kawa Mungu mtu. Mawaziri wamebaki na kazi ya kumsifia saa 24.
Kafanya hiki, kaleta kile, ilikuwa hivi na sasa ni hivi. Anajenga picha kwamba miaka yote ya nyuma hakuna kitu kilifanyika
Ni kama vile nchi imeanza 2015, swali ni je, hawakumjua? |