Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

Mzee baba mshana jr hapa umechemka Penzi kitovu cha Uzembe siyo riwaya ile ni thamthiliya iliyoandikwa na MAREHEM EDWIN SEMZABA
 
nimeshindwa kabisa kutafsir fasihi iyo jaman, mwenye kuielewa ebu atu dadavulie japo na sisi tusio wana fasih tupate kuelewa kidogo
 
Naskia Da Mange kasema 26march ni Muungano day?
 
Embu tuache utani, hivi kweli yule amekubali kuwa kimada? Kwanini na inawezekanaje???? Kama ni kweli, wasiwasi wangu yule dogo atapotezwa baada ya mapumziko ya dakika 15 kabla ya kipindi cha pili kuanza. Atakuwa anajua yale yasiyohitaji kujulikana.
 
Embu tuache utani, hivi kweli yule amekubali kuwa kimada? Kwanini na inawezekanaje???? Kama ni kweli, wasiwasi wangu yule dogo atapotezwa baada ya mapumziko ya dakika 15 kabla ya kipindi cha pili kuanza. Atakuwa anajua yale yasiyohitaji kujulikana.
Dogo!? Dakika 15?
kupotezwa?
 
Dogo!? Dakika 15?
kupotezwa?


Hahaha. Dogo kasajiliwa kwenye dirisha dogo kuwa kama kiraka tu na kuhakikisha timu inapata mahitaji yote kama vile mipira ya kuchezea, soksi na pia kuhakikisha kocha na msaidizi wake wanawasiliana vizuri. Hawezi kusimamia mawe! Ila bado siamini timu yetu imefikaje hapa???
 
Nimekupata vema sasa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…