Mzee alianza zamani na hili wazo

Mbase1970

JF-Expert Member
Jun 11, 2015
6,054
4,602
Watu wanalaumu kuwa alikuwepo huko mimi naona Magufuli alishaliona hili ila alijua hana ubavu wa kulizuia. Na watu watasema angehama chama lakini Magufuli alijua kwa katiba hii asingeweza kufikia lengo lake kuwa rais kwa katiba yetu ya CCM. JPM kwa umakini wake aliona acheze karata ya kujifanya mjinga na mmoja wao ili baadae apate nafasi. Magufuli alifuata ule msemo wa Mwalimu Nyerere kiongozi bora atatokana na wana ccm wasafi.

Hapa chini ni clip iliyochukuliwa akilalamika jinsi tunavyopigwa na hawa wawekezaji wanaotetewa na kina nanii..


Mjadala uendelee.
 
Hiyo Clip niliiona zamani kidogo. Alikuwa na rafiki yake Mh. Kitwanga hapo. Ukiitazama kwa umakini utamuelewa huyu Mzee.
 
Kitwanga anaonekana alishazitwanga za kutosha hapo. Au kwenye hiyo Coca kuna urandi (brandy).
 
Watu wanalaumu kuwa alikuwepo huko mimi naona Magufuli alishaliona hili ila alijua hana ubavu wa kulizuia. Na watu watasema angehama chama lakini Magufuli alijua kwa katiba hii asingeweza kufikia lengo lake kuwa rais kwa katiba yetu ya CCM. JPM kwa umakini wake aliona acheze karata ya kujifanya mjinga na mmoja wao ili baadae apate nafasi. Magufuli alifuata ule msemo wa Mwalimu Nyerere kiongozi bora atatokana na wana ccm wasafi.

Hapa chini ni clip iliyochukuliwa akilalamika jinsi tunavyopigwa na hawa wawekezaji wanaotetewa na kina nanii..


Mjadala uendelee.

Kwa uzalendo huu natabiri huyu Mzee kabla ya kutoka madarakan 2025 atatuachia katiba mpya ya warioba ili nchi iwe pazuri
 
Ndiyo hapa sasa Ule msemo unatimia.

"If you can't Fight them, Join them"

Dr.. Magufuli used the inverse of that, quotation to conquer the enemies.

For sure, we appreciate his initiatives and we do supports him for the betterment of our near future and our country at large!!

As USA believes that, No Negotiations with the Terrorists, Tanzania, too will never ever Negotiate with Thieves, Exploiters and Hypocrite Whitemen in the name of Investors/ or FDI.

Therefore, together we shall win the battle!!

Period.
 
Ikipatikana katiba ya Warioba tu natenga zangu "20 Bilions" nanunua URAHISI

Haaaa haaaa haaaa,

Kama hayo ndiyo mawazo yako basi, hadi hapo umeishafariki na umeukosa urais, wale jamaa wa UwT na miwani ya mwanga tayari wako nawe hebu geuka pembeni mwako uwaone wakivyokuzunguka!!

Kama huoni, mtu hata mmoja wa UwT hapo ulipo basi, tayari uko kwenye mikono salama.
 
Haaaa haaaa haaaa,

Kama hayo ndiyo mawazo yako basi, hadi hapo umeishafariki na umeukosa urais, wale jamaa wa UwT na miwani ya mwanga tayari wako nawe hebu geuka pembeni mwako uwaone wakivyokuzunguka!!

Kama huoni, mtu hata mmoja wa UwT hapo ulipo basi, tayari uko kwenye mikono salama.
Nawanunua tu kama alivyofanya Laigwanan
 
Haaaa haaaa haaaa haaaa teeeh Haaa haaa haaaa haaaa teeeh Haya
Mkuu kundi kubwa la watu ni rahisi sana kuwa manipulated ndio maana hata marekani POPULAR VOTES haziamui rais, bali zinazoamua rais ni kura za kundi dogo la watu la ELECTOL VOTES. Ukiruhusu mazingira free and fair kabisa hata MKENYA anaweza kuinunua nchi
 
Mkuu kundi kubwa la watu ni rahisi sana kuwa manipulated ndio maana hata marekani POPULAR VOTES haziamui rais, bali zinazoamua rais ni kura za kundi dogo la watu la ELECTOL VOTES. Ukiruhusu mazingira free and fair kabisa hata MKENYA anaweza kuinunua nchi

Wakenya tayari mbona tena zamani sana, mimi nimetembea maeneo mengi ya mipakani sasa nikupe mpaka mmoja au miwili
Pale sirari boda ya Sirari na Isibania Kenya , kuna Wakenya wamejenga maorofa na watu, na viongozi wa serikali pale mkoani wanajua kabisa kuwa wenye hizo nyumba sio watanzania ila wapo tu na hao jamaa wanasema wao ni watanzania na wakati hadi Miji yao pale Kenya inafahamika na ndugu zao wote kuwa ni Wakenya.

Haya, Tanzanite yetu inasafirishwa na Kenya, Eti hadi mihuri kuwa Tanzanite ni kutoka Kenya sasa hapo watainunua Tanzania mara ngapi!?

Mambo haya ya "ungese" yanafanyika Tanzania tu.

Acha Magufuli awanyooshe kwanza hawa vibaka wa kiafrika walioshirikiana na wazungu koko kutuibia madini yetu.
 
Back
Top Bottom