elfu 10????hivi bro mwendawazimu akikutukania mama yako utakasirika???? Hao ni wendawazimu na wameathirika na ugonjwa wa uarabu koko. Wanadhani muungano ukifa mambo yatarudi kama awali. Lakini hizo ni ndoto tuu.
Mimi kwa upande wangu ninaomba huu muungano ufe halafu tuone kiasi gani tanganyika tutaathirika na uamuzi huu. Kwani hata wakiamua kufukuza wa bara walioko kisiwani [sidhani kama wanafika elfu kumi] sisi huku tutafukuza mamilioni.
Dwa ni kuwadharau tuu kwa kutojibu. Kwa kufanya hivyo itawaudhi sana
Umetukwana Mzalendo Net au umetukanwa na member wa Mzalendo Net.
Mtandao wa Wazanzibar wewe umefuata nini!? Pumbavu.Jamiii forum hatuna wahuni....watu wwanabishana kwa Hoja ....pamoja na kuwa wanagombana.......,iimeniiuma sana kutukanwa na watu kukaa kimya just kwa kuwa Mimi ni mbara....,hi inaonesha mtandao wa Zanzibar hawataki maoni mbadala.....
Mtandao wa Wazanzibar wewe umefuata nini!? Pumbavu.
Speed Tanker ......Mimi sintakuuliza kuwa umefuata nini hapa ..,maana JF ni Kama kichuguu...siafu na nguchiro au fuko wanaishii kwa Amani........
Kuhusu ..kutukana Kama ulivyofanya hapo juu...!!!! Nitaacha Watu waku judge wenyewe.....wakuweke kundi gani...
Gwakisa hawa jamaa ni wabaguzi sana...spendi Kabisa ubaguuzi.......,tukiwaacha wattaabaguana
Hata wakibaguana si wao na ZnZ yao, we msuluishi unataka kuzuia wasibaguane. it seems una kiherehere acha utukanwe.
Tazameni sehemu tu ya matusi niliyoporomeshewa....
http://www.mzalendo.net/habari/seif-asema-tunataka-zanzibar-yetu
Author: Albusaidy
Comment:
cEbu fanyeni maaririfa uyu mkoma na mtwana wa bara aitwaye phillemon nimpate maana anakitu atakaaganyiwe ila hasemi moja kwa mojo,ile sie tushamfahamu kua anahamu ya kufirwa,naomba uchukue hii nomba yangu ya simu unitafute 0777222231 naapa nitakutimizia haja yako.