NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Nilikuwa najadili Hoja ya Maalim ..kuwa wanataka Zanzibar Yao ....mawazo Yao ni kuwa muungano ukivunjka watafaidika kugawana utajiri wetu nusu Kama ndoa zinapovunjika.....,nikawaeleza juu ya michango ya kuendeshaa Tasisi za muungano ambayo hawatoi na vitu Kama umeme...
Una masimango sana nawewe.lol!
Oh michango hamtoi na umeme hamlipi ya nini yote hayo?