Hii post inatoa taswira mbaya sana kwa wanzanzibari na sidhani kama huyo aliyekuwa anatukana anaelewa madhara yake kwa wanzanzibari wenyewe? Amejikita kwenye mambo mawili, 'rangi ya ngozi na homosexuality'. Sasa, kama debate ilikuwa ni kuhusu Zanzibar kujitenga na Tanganyika, skin colour na homosexuality vimeingiaje? Anataka kuuwambia nini ulimwengu? Mambo ya aibu sana haya!
Jamaa katukanwa na Mzanzibar moja anawajumlisha Wazanzibar wote.
Mkuu huyo aliyetoa hayo matusi ni muhuni tu kama wahuni wengine ambao tunao humu, hiyo namba ya simu kaweka tu wala sio yake.
Kaka Ritz sasa unatetea nini hapo....nimesema hiki ni Kielelezo ....au sampling ya mawazo ya wazanzibari dhidi ya Wabara....ushahidi wa ubaguuzi upo wazi kila mahala ...mbona Huku sijapata ona..,kwa kiwango hiki....
Kweli tunajivunia rangi ya ngozi ya babu?....na kumdharau bibi kwa kuwa alikuwa mkoma au mtumwa toka bara....?
Phillemon Mikael
Uliwafany nini wewe kwanza?hebu tuambie tujue ulichowachokoza kabla ya kuanza kukutetea,usituchezeshe goma tusiyoijua weka mambo yako hadharani maana haiyumkiniki ghafla tu wakuvamie wewe bila sababu kati ya watz wote mamilioni,kuna kitu umefanya kule wewe..kiseme
Hivi mtanzania bara mmoja akiwatukana wazanzibar tunaukuhumiwa watanzania bara wote?
Ritz katika vitu ambavyo huwa vinaboa ni kugeneralize but kwa wazench ni tofauti kabisa, nakumbuka mie ni mmoj wa watu niliotukanwa nao wakati wanajadili hii hoja ya zanzibar kujitoa kisha tugawane mali pasu kwa pasu. kiukweli ilifika mahali na mie uzalendo ukanishinda nikajisemea siwajibu. pillemon aliwapa facts ila wakakataa na mie niliwaambia hata ndoa mali hazigawiwi pasu kwa pasu kama mtafutaj alikuwa mmoja tu wakasema sie wabara was......nge na matusi kibao kimsingi waliniboa na nimesema hoja yyte ambayo inajadiliwa kwa matusi na jazba badala ya kutumia facts zenye mashiko sijadili asilan na nimeifunga hii web siifungui tena kama blog za issa michuzi na nyinginezo nyumban kwangu.Hivi mtanzania bara mmoja akiwatukana wazanzibar tunaukuhumiwa watanzania bara wote?
Jamiii forum hatuna wahuni....watu wwanabishana kwa Hoja ....pamoja na kuwa wanagombana.......,iimeniiuma sana kutukanwa na watu kukaa kimya just kwa kuwa Mimi ni mbara....,hi inaonesha mtandao wa Zanzibar hawataki maoni mbadala.....