Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Ha ha ha ha karuceee thanks kwa kuniondolea mawazo lol...Babu atakuwa Santa Claus. Performance mpaka Krismasi.
Ha ha ha ha karuceee thanks kwa kuniondolea mawazo lol...
Ha ha ha ha dah hata sina santa ndo maana sina raha, next chrismass sifanyi kosaNilitaka nikuite nikasema labda upo na santa na wewe lol
Ha ha ha ha dah hata sina santa ndo maana sina raha, next chrismass sifanyi kosa
et santa yan nmecheka mie lol....
Hahaha hili jibu umelitoa ghafla au ulijipanga limenichekesha sanaaSubutu. Once a year. Mpaka ya kuhadisia kwenye mtandao?
Siku zingine kajogoo huwa kamejilalia tuu kama kapo dying phase. Lol
Siyo jealous Zahra White ila dawa za kuongeza nguvu ukizitumia sana zinakuwa hazifanyi kazi tena.
Hahaha hili jibu umelitoa ghafla au ulijipanga limenichekesha sanaa
Viagra at work......ngoja aje akufie kitandani
Subutu. Once a year. Mpaka ya kuhadisia kwenye mtandao?
Siku zingine kajogoo huwa kamejilalia tuu kama kapo dying phase. Lol
Hilo jina Zahra na hayo uliyoyaandika haviendani kabisa.
Waswahili wanasema....."MASIKINI AKIPATA............!"
Nimemmisi huyo kwenye avatar.
mhh the monkey or the booze?
Eeeeh mm nikazani wanaume tuu ndo wanatabia yakujifagilia demu yule nimempa kichapo mpaka amekoma kumbe na wanawake wapo eeh unasema mbele ya jamii yote kherii endelea tuu na vizee