My Views: The Escrow saga is over

My Views: The Escrow saga is over

diwan

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
308
Reaction score
114
Kwa mtazamo wangu baada ya uwasilishaji wa taarifa ya ukaguzi ya swala la Escow Acc na mambo yake yooote.

Kesho waziri mkuu atajiuzuru wadhifa wake hivyo baraza la mawaziri litavunjwa, pamoja na baadhi ya mawaziri waliotajwa kuhusika moja kwa moja katika ukwapuaji wa mabilioni ya Escow. Hivyo kuvunjika kwa serikali kutapelekewa kuvunjwa/kuahirishwa kwa bunge kutapelekea kutojadiliwa tena kwa taarifa iliyowasilishwa mezani.

Na huo utakuwa ndio mwisho wa kujadiliwa kwa taarifa hiyo na kuendelea na matukio mengine yataendelea kama, uchaguzi wa serikali za mitaa, Uteuzi wa Waziri mkuu, na baadhi ya viongozi wengine kwenye baraza la mawaziri wapya.

Waiting for the next episode
 
wahusika wote kama wakamatwe wasisafiri kwa njia yeyote hile
 
Tukifuata sheria za hii nchi, humkamati hata mmoja. Kumbuka hela nyingi zishatumika na acc nyingi zimeshafungwa
 
Money is everything ndugu zangu. hapo Kwa mtazamo wangu hakamatwi hata mtu mmoja na hata wakikamatwa hawata chukuliwa hatua kali kama watanzania wengi tunavyofikiria. Sanasana watajiudhuru vyeo vyao tu.
 
Back
Top Bottom