My secretary is giving me a hard time, please advice

My secretary is giving me a hard time, please advice

Huyu mkulima alivyoambiwa you are very nice and u are my surpport baaaas yeye kwa akili yake akajua anapendwa ili kugegeda??!! stupid mentality

Hahahaaa!Kuna wakati mwingine mtu unaamua ku appreciate mchango wa mtu katika maisha yako naona jamaa akaona bint keshakolea tayari. ..lol
Umenichekesha sana.
 
Hahahaaa, unaongea kwa experience sana inaonesha wewe pia una mbunge wako wa viti maalum. ..lol
Haya nimekuelewa.

Mbona mimi sii mbunge na tena mkongwe hivyo ni wazi siwezi pewa nafasi ya kuchagua kiti maalum changu.
 
you and she laugh very many and you think she is loving you but not..may be her like joking and laughing and her has anazer man and you is just worker her fellow

me say if her say no u believe her and leave her alone..zis forcing forcing loves is not good..you can hurt yourself

agree with truth and things will be president from there.

and have you marry?..if you have marry zen respect her your wife and dont used to approaching approaching workers your fellow.

senk you teacher sir!
 
ndo huyu wa kwenye picha??? mbona kama aliwahi kumwagiwa tindikali miguuni kwa nyuma?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom