Ngozi Joram
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 662
- 546
Habarini wana JF, kutokana na mizunguko ya hapa mjini nimegundua kuwa mabasi ya mwendo kasi yamepungua au yameondolewa kwenye mzunguko. Ukiwa vituoni si ajabu kusubiri gari nusu saa hadi lisaa na kupigania ni kama mbagala. Je wewe umeona tofauti hebu longa pia