My lil trip in India, the Filthy Country [Photos]

Tatizo wamezaliana kuzidi kiwango. The only long term solution for their many problems is family planning. Since their population surpas the available resource by considerable times.
 
Hahahahhhahaahhah ujue ni elimu nzuri sana tunajipa kwa kutembea nchi nyinginelakini tunakuwa hatujasoma kitu kwa sababu ya kushindwa ku identify culture za watu.sisemi kua wahindi wachafu lakini naomba nikueleze kuwa kabla hujaenda sehemu yeyote cha kwanza ni kujua lifesyle yao ipoje huko...mfano unaposema kuhusu kunya nje...ka jamii za bongo ni uchafu lkn huku ni jambo la kawaida kabisaaasawa na kutema mate nakujamba na mambo mengine kwa hiyo usiseme ahindi wchafu sema '' tamaduni zao kulinganisha na zetu unaona zao chafu''.

halafu hizo cyo picha za India zote...hapo ndo umeharibu unapotoka kwenye nchi hzi za nje jaribu kutoka na mazuri ona wewe umetoka na picha za uchafu,cjui zinafundisha nn hzo?BE POSITIVE!!
 
basi huu mto ni mchafu kuliko mito yote katika sayari hii. lakini jamaa wanaamini huu mto una holiest water.
 
Hahahahhhahaahhah ujue ni elimu nzuri sana tunajipa kwa kutembea nchi nyinginelakini tunakuwa hatujasoma kitu kwa sababu ya kushindwa ku identify culture za watu.sisemi kua wahindi wachafu lakini naomba nikueleze kuwa kabla hujaenda sehemu yeyote cha kwanza ni kujua lifesyle yao ipoje huko...mfano unaposema kuhusu kunya nje...ka jamii za bongo ni uchafu lkn huku ni jambo la kawaida kabisaaasawa na kutema mate nakujamba na mambo mengine kwa hiyo usiseme ahindi wchafu sema '' tamaduni zao kulinganisha na zetu unaona zao chafu''.

halafu hizo cyo picha za India zote
...hapo ndo umeharibu unapotoka kwenye nchi hzi za nje jaribu kutoka na mazuri ona wewe umetoka na picha za uchafu,cjui zinafundisha nn hzo?BE POSITIVE!!

mkuu .. si kuwa na niya mbaya. nilipigwa na butwaa kuona mazingira ya huo mto ambao ni holiest . hapo kwenye red UMEFIKA Bodhgaya , nenda kajionee India is indeed "dirty", "messy" and "smelly" hata sehemu wanazoishi maskini wa kwetu tanzania wanajitahidi hakunuki vile.

on the other hand kuna miji mizuri ya kitalii
 
I could have thought it was photoshop....the great India....
 
Kwa hiyo Tanzania ni safi sana? Umeilinganisha na wapi? Na unaposema India ni chafu umeilinganisha na wapi? Umetumia vigezo gani kwenye ulinganishaji wako uliofanya?

Mkuu!! uchafu wa India umevuka mpaka, ni balaa!!
 
I've been to India several times for work. While it's not all dirty, there is absolutely no doubt it is the dirtiest place i have ever been.

Tanzania does not even come close, trust me.
 
I've been to India several times for work. While it's not all dirty, there is absolutely no doubt it is the dirtiest place i have ever been.


Tanzania does not even come close, trust me.

Mpelijr umenikuna sana kwa POSITIVITY comment yako

india kubwa sana hizo picha ni za ganges just try to google image that place.. ila worlld bank sasa inataka kutoa mkopo wa $1 billion to blean up ganges india holy river - Google Search
 
Inatisha lakini salama,usijali hiyo ndiyo JADI yao hauwaoni hata huku TZ? wanavyoishi namna ileile lakini mazingira tofauti.
 
mie mwenyewe nimemfikiria huyumtu.....

Huyu jamaa husema mbovu sana kwetu ukimuuliza yeye anadai tunambagua lakini haoni yeye jinsi anavyotubagua sie. Pili huwa anadai sisi ni watu wa karne ya zamani sana sasa sijui yeye wakarne ya sasa haya mazingira nadhani yanamsuta.
 
Ni wachafu mno, Tanzania ni kuchafu baadhi ya sehemu ila kiwango cha India hakijafikiwa! Let's improve!
 
Back
Top Bottom