jaman who is de best man for me????? Nimechoka kudanganywa daaah,,,eeh mungu nionyeshe mwanaume mwema..hadi kusoma nashdwa kisa mapenz daah mungu nisaidie,,,
Nimpende nani nimpende eee eeeh,nimpende nani nimpendee aaah
Nikuwaga mpenzi...ananizingua.........
Naogopa sana vijana wa sasa kwenye mapenzi wasije wakanitenda............
Si unajua wazuri ni wengi lakini kumpata mwenye mapenzi ya kweli ndo balaa...wengi wajanja watoto wa mjini wamejawa utapeli sanaaa...
jaman who is de best man for me????? Nimechoka kudanganywa daaah,,,eeh mungu nionyeshe mwanaume mwema..hadi kusoma nashdwa kisa mapenz daah mungu nisaidie,,,