Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..
Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..
Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..
Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.
Mhhhh! AD hii kali! Dunia yetu ya sasa Mhhhh! ina mambo ambayo kwa kweli ni ya kustaajabisha sana. Sasa huyu si ajabu anaweza kuamua kufunga virago ili akiishi na mwanamke mwenzake maana burudani ni zaidi ya ile anayoipata toka kwa mumewe!
Shetani ana nguvu sana mwambie huyo dada afunge na kufanya maombi maana atakapo angukia ni aibu kwa ndugu zake na mumewe na mtoto wao,
Halafu my dia jaribu kumuogopa kimtindo asije kukubaka bure.
Daaahh
mpenzi MR
huyu kachanganyiwa na penzi la msichana
Mwenzie yeanatafuta njia ya kumwambia mumewe
anakwambia nilikuwa kipofu sasa nimeona..
Hahaha and
u don't need to worry bwt me lol
Hahahah lol
My dearAfrodenzi ndio kwanza umeingia ofisini na stories za weekend? Kazi kwanza, tutaziongelea wakati wa break. Halafu angalia mafaili kama yapo kama ilivyoyaacha ijumaa b'se kuna watu wamepoteza kazi this weekend.
DaaahhWhat's wrong with dude? If I were him I'd bust a quick rhyme that goes a lil' some like this....my girl gotta a girlfriend, I just found out but it's aiight, as long as I can be with her too. And It's really not a problem coz Imma make it do-what it-do. Coz having two chicks is better than having no chicks. I'd rather just join in. Keep my girl and keep the other one too. Ha haaa....
So just tell dude not to be all uptight about it. Life is too short to fuss about the minutiae of everyday life. Actually, IMO fussing shortens life. He can join in and they can all have one hell of a menage a trois. That way so everyone can be jolly. Does anyone find that to be objectionable?
Oh btw, wassuup JF world? It's been a minute and things done changed since I left. I see tons of new peeps that I barely know. But it's all good. I'm sure the vets did hold down the fort while I was gone. Happy Monday, peace out, and be well.
My dear
matatizo ya maisha yanatokea
Saa yeyote haijali ni weekend au weekdays
Daahh hiyo avatar yako
Na maneno uliyoandika yamenishtua kidogo lol
Daaahh
Welcome back NN.
so the guy should join the club mmmhhh
But what bwt the kid
And family a super Christian..
Sawa mkuu
lakini mie nimesha vuna..